nadhani si mwananchi bali raia wa Tanzania possibly hata uraia wake ni kwenye makaratasi tu historia manake inawezekana ana dual citizenship ambapo tz haikubaliki.
ukiniuliza tofauti ya mwananchi na raia ni...raia mtu yeyote hata wewe unawez akuwa na uraia wa nchi yoyote kwa taratibu za...
tatizo kubwa na punyeto ni fikra...inafika wakati unaona nu usumbufu kuanza kutongoza na au kumvua mtu nguo....you end up shortcutting na ukiizoea kila mara uingiapo bafuni lazima upige. usipopiga husikii raha.
acha fitina zako za kijinga....ukiacha wazee kama Msungu na akina mngazija, mareporter bomba vijana ITV ni spencer lameck, buhohera na sam mahela.
wewe ndiye uko biased..ukikua utaacha
Sacrament ziliwahi kuwa nyingi zaid ya hizo 7 na zilipunguzwa. Japo ndoa ni sakramenti lakini mapadri hawaruhusiwi kushiriki kutokana na circumstances kuwa wajishughulishe zaidi na masuala ya kiroho. Na hiyo ilipelekea Waanglican kufuta ndoa kama sakramenti takatifu wakabakiza 6 tu.
Ningependa...
Kiluuj
ulimwenguni kuna wajinga wengi....achana naye. Usimfanye chochote. Atakuheshimu na kukuabudu. na wale usithubutu kuonyesha kumtamani au kumhusudu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.