Mimi nadhani ni Mfumo wa MUUNGANO waliojiwekea hauruhusu mabadiliko, kwahiyo CCM wamekwama.
Nadhani sasa ni wakati muafaka kabla ya kuandika kwa katiba mpya Pajadiliwe mfumo muafaka wa Muungano kwanza .
Kuna hatari kuwa endapo chama kingine kisichokuwa CCM kukamata upande mmoja wa Muungano na...
Ndugu wana ukumbi na wafuatiliaji mada za vita vya Russia na Ukrain.
Mimi siiangalii Vita vya Ukrain katika mtazamo wa kivita ,bali mtazamo wa kiuchumi na mgeuko wa mfumo wa uchumi Dunuani.
Nasikitika sana na maamuzi aliyofanya Raisi wa Russia kwa kuivamia Ukrain.
Nahisi ali under estimate...
Namuona Mwl akiwa mtu wa kawaida kabisa
Huku Shk Suleima Takadiri na weziwe (SHEIKH SULEIMAN TAKADIR, JOHN RUPIA AND NYERERE 1955) wakionesha kuwa na lengo moja tuu.
Kuikomboa Tanganyika.
Lakini Huku nyuma kuna mabodi Gurd wa kijadi,
Wanachekesha kidogo. mtu kabeba Shoka begani , Mkuki...
Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.
Taratibu fuatilia
Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege 'Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini...
Ilikuw kawaida tokea Mzee Mwinyi alipomaliza muda wake wa Urais, hatukuwa na namna ya kumpata Rais mwingine toka Zanzibar.
Wazanzibar tulibakia na Umakamu tu na mpaka ikawa ndio majaliwa yetu. Lakini kifo cha Magufuli kimeleta jambo lisilozoweleka.
Kazi za Makamu wa Rais ni kufungua makongamano...
Ni miaka 27 tokea mfumo wa vyama vingi urudishwe tena Tanzania.
Ulikuwepo kablaya Uhuru na mara tuu baada ya Uhuru waTanganyika Dec.9.1961/Zanzibar Dec.10. 1963.
Lakin CCM walirudisha neno vyama vingi tuu huku wakiendelea na katiba ile ile y chama kimoja iliyorekebishwa kwenye vipengele vichache...
Huenda CCM ikadhani kuwa mchezo walioufanya mwaka huu katika uchaguzi ni kwa manufaa kwao tuu. Laa mimi sioni hivyo,bali ni wa manufaa kwa vyama vya upinzani vyote nchini.
CCM imejipambanua kuwa haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu, ni nani alitarajia kuwa Mdee ange bebwa na CCM kutumika...
Habari za 2020 wana Bodi. Tanzania inavituko vingi mno.
Kila nikipita kwenye vyanzo vya habari nakutana na KUPITA BILA KUPINGWA kwa wagombea wa CCM tuu, Hiiimekaaje?
Hivi wapinzani bado hatujajuwa kujaza fomu? Hivi bado tunanunuliwa siku ya kurudisha fomu?
Nini hasa kilichojiri kwa wagombea...
Amenukuliwa leo Dodoma
Hivi maneno haya yanaashiria nini?
Hivi Muungano si suala la kikatiba?
Inamanisha kuwa CCM inaufanya muungano kama ndege wa kufuga?
na hili la uchumi na maendeleo je?
Heri za Siku kuu ya Eid na Baraka tele za Mfungo wa Ramadhan. Poleni kwa kupambana na maisha na Ugonjwa thikili wa Corona.
Sasa wakati wa kufuma viongozi watakao iongoza ama kuitawla nchi zetu mbili ndani ya Jamuhuri ya Muungano umefika.
Ila jioni ya leo nitajihusisha upandewa Zanzibar. na...
Ndugu wana jamvi,
Halii inavyo endelea kuhusu hii vita ya corona Raisi wangu ana siri kubwa moyoni mwake.
Nadhani huenda ameshatambua dunia ya leo ilivyo ndumila kuwili, Watu unawez kuwaona wako Bar wanastarehe ,kumbe kuna biashara fulani pale inaendelea.
Hii ni dunia ya ''Biological...
Nawatakia Watanzania wote heri za siku ya leo ya Muungano.
Nilitamani Muungano huu usingelikuwa tena na kasoro wala changamoto baada ya kutimiza miaka 55. lakini kwa umri huu, ikiwa ni binadamu na anugua maradhi hatarishi basi akikumbana na corona huwa haponi, nina wasiwasi mkubwa kuwa Muungano...
Nina shida ya kupatwa na vidonda vya mdomo mara kwa mara, na sasa hata mtoto wangu wa miaka 10 namuona ameanza kuwa na tatizo la aina hii.
Nini hasa tatizo?
Naomba msaada wenu
Wakati taifa letu linazidi kusonga mbele kidemokrasia,kuna kila dalili za kuvunjika kwa umoja wakitaifa ambao ndio msingi na tunu kuu ya Tanzania.
Aidha kuna dalili za ukabila na ukanda nazo zinajitokeza kwenye siasa zetu ,na kuna mawakala wanazipalilia humu nchini.
Kwa kuepuka mivutano...
Mimi kama mzanzibari niliyeshiriki chaguzi kadhaa hapa Zanzibar za kuchagua viongozi wa nchi.
Lakini mwaka 2015 umenivunja moyo kabisa baada ya kuona kura yangu ikipeperuka bila kujaliwa shida iliyonipata kwa kutumia muda wangu mwingi kujiandikisha,kuhakikiwa taarifa zanzzgu na mwisho kujipanga...
Imekuwa ni jambo la kawaida kutoka habari za ubadhirifu kwa viongozi wa Kiafrika.
Kila kiongozi anapotolewa madarakani kwa nguvu ya umma au mapiduzi ya kijeshi au kushindwa kwenye uchaguzi halali katika ballot boxa basi siri hufichuka jinsi gani viongozi wetu walivyokuwa malimbukeni wa...
Jana tarehe 27/11/2019 Taifa la Kenya limezindua riporti ya tume maalumu inayoitaka serikali ya Kenya kuleta maridhiano ya kitaifa. Kwa sikio langu nimemsikia Rais Uhuru Kenya akisema kuwa Yeye yuko tayari na ameshakubaliana na Odinga kuhusu hilo. Kwa pamoja walipeana mikono na Kukumbatiana...
Hayati mchungaji Mtikila wa DP aliwahi kuwahimiza sana wapinzani kupigania katiba mpya kwanza kabla ya kukimbilia kushiriki chaguzi mbali mbali kwa katiba iliyopo ambayo imeipa CCM meno ya kufinyanga matokeo ya uchaguzi na ama kuweka wasimamizi wa tume ya uchaguzi makada.
Aliwahimiza wenzake...
Nashangazwa sana na Dunia Hii ya leo,Haki imekuwa batili,Dhulma inaonekana kuwa haki
Damu za waislamu zimekuwa rahisi kumwagwa,kila mwenye kuuwa leo hujifunzia kwa waislamu.
Tumepandikiziwa makundi na misimamo ya ajabu halafu tumehalalishiwa kuuwawa.
Hapa kwetu tanzania,Ukiunga mkono Muamsho...
Baada ya miaka kadhaa tangu Rais Trump wa Marekai kuingia madrakani,na kufuta mkataba wa maelewano wa US na Iran ulio sainiwa na Obama, sasa amekubali kuwa panaweza kuwepo mazungumzo na Iran na kuruhusu diplomasia ichukue mkondo wake.
Hii ni dalili nzuri sana ya kuondosha kiwingu cha vita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.