kwani wangalikuwa wapinzani wasingelifanya hayo?
Au CCM wanatumia pesa za chama chao kujenga miundo mbinu?
wacheni upoyoyo.
Maisha ya kipato cha mtu binafsi mitaani ndiyo muamuzi wa kura.
Watu wana njaa, hawana kazi, maisha yamepanda na kila siku vitu vinapanda bei ikiwemo mafuta na sukari...
Hakuna suala la mashamba ya serikali hapa,
Watu binafi wapewe kivutio ili wawekeze kwenye kilimo kama akina Bakhresa, Mo na mabepari wengine ili wazalishe chakula kwa wingi wauze ndani na nje ya nchi.
Usisikie Marekani au Ukraini wanalima na kulisha dunia ujuwe si mashamba ya Umma bali watu...
WAARABU NI WACHOVU KAMA WAAFRIKA TUU,
WASIMAMIAJI WA issue NZIMA NI WAZUNGU.
SEMA WAARABU WALISAIDIWA NA UJIO WA NABII MUHAMMAD (SAW) NA KUPATA KUFUNGUKA MACHO
LAKINI WAFRIKA UPOYOYO UMETUFIKISHA HAPA TULIPO KWANI SISI HATUNA HISTORIA YA KIELEIMU.
MADHILA YOTE YAMETUANGUKIA SISI.
HAPO NDIO...
Mapimbi wako wengi duniani
Unaambiwa mikataba 15 , imetiwa saini 10 ikiwa ya serikali na mitano ya wafanya bishara.
Hivi unaichukuliaje Ziara kama hii kama TZ imekubaliana na India kutumia Sarafu zao katika bashara badala ya US dolla?
Mmi nadhani wewe Pimbi usiyejua mambo ya Uchumi na Mahusiano...
sasa akili ya uvumbuzi inatokana na dini au akili?
Kwahiyo wakiristo wa kiafrika na kiarabu nao vipi mbona wamezidiwa na Mapagani wa kizungu na Mabaniani na wachina ambao hata zao si za kikiristo wala kiislamu?
[emoji108]
Kuna watu wanataka kudictate kila maamuzi ya Serikali. Samia mzanzibari, kuna kosa gani akipromote UTALII Zanzibar?
Mbona Mwendazake alipromote Chato na kukenga mpaka ikulu kule kisha kaweka Trafik Light porini kabisa.
See
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Unakusudia Raisi Samia, na Mbarawa?
Hivi leo si Watanzania tena?
Ubaguzi unakutafuna ndugu yangu.
Magufuli alipoharibu mulianza kusema Sukuma Gang.
Lini yataisha maujinga ujinga haya?
Watu wakikosea serikalini wanatajiwa uasilia wao!
UJINGA NA UBAGUUZI
Sent from my SM-A305F using...
Mimi nadhani Vunjeni Muungano, ili Zanzibar iende zake na Tanganyika waunde serikali yao.
Kwa vile Bunge ndio limepitisha haitawezekana kufanya Impnchment.
Kuhusu kuuzwa kwa Sovereghnity ya tanganyika nadhani Zanzibar Tunastahiki zaidi Kupewa Sovereghnity yetu NOW.
Nyinyi Bandari mumekuwa...
Yaani unaonesha huna uelewa wa lolote.
Mkataba Haukuvuja, uliwekwa hadharani na kupelekwa Bungeni.
Bunge limeupitisha.
Lakini vichwa maji kama mimi na wewe tunawatukana viongozi.
Nashindwa kujua udhubutu huu munaupata wapi?
Serikali inawajibu kwa taifa kutafuta njia za kuendesha nchi na...
Kwa kosa hili alilofanya Nyerere, ndiomaana hadi leo Migodi ya Almasi, Dhahabu si mali ya Watanzania, Inaendelea kulipa madeni ya mali zile zilizotaifishwa.
Kama Hamjui basi muelewe.
Dunia ya leo ukivunja mkataba au kudhulumu maliza watu kwa mintarafu ya kisiasa, utaingiza nchi katika kulipa...
Munapigania nini?
Mbona mkataba huu ni halali umeshapitiwa na Bunge !
Hivi hii nchi ikoje ,
Kwanini Mkutano usifanyike Kiniondoni au masaki, badala yake temeke na Nbagala, Huko ndio mumeona Wachovu wengi wa Uswazi sio?
Target Kuwaamsha wachovu?
Kaamsheni wasomi na wakubwa kule kinondoni, Masaki...
Sura ya 2:Aya ya35.'' Na tulisema(kumwambia adam): Ewe Adam! Kaa wewe na mkeo katika Bustani(Pepo ya Eden), na kuleni humo mtakacho maridhawa popote mpendapo, lakini msiukaribie mti huu tu; mtakuwa katika wale walio dhulumu.''
Sura ya 2: aya25.'' Na wabashirie walio amini na wakatenda mema kwamba watapata mabustani yapitayo mito kati yake; kila watapo pewa matunda humo, watasema: Haya ndiyo kama tuliyo pewa kabla. Na wataletewa matunda yaliyo fanana; na humo watakuwa na wake walio takasika; na wao humo watadumu.
Mimi naona uko sawa tu.
Mama alikosea kupeleka bungeni suala hili akiamini kuwa anafanya demokrasia, kumbe anawaamsha Mazuzu.
Watanganyika bado wanaamini Ujamaa, wakati CCM imeelekea Upepari.
Uwekezaji wa nje huwa hautumii sheria za Kijamaa za tnzania.
na Mabepari wengi wanahofu naMfumow wetu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.