Mambo ya Yanga yanawatesa na kuwakereketa sana wanaSimba kuliko ya Simba... Ni sawa na kusema harufu ya biriani nyumba ya jirani inamkera sana jirani kuliko mwenye nyumba ambapo biriani inapikwa...
Shida ni nini..??
Maana ni nadra sana kukuta watu wa Yanga kuongelea Mambo ya Simba... Lakini...
Kama kisa cha kufukuzwa ni hicho sawa... lakini mamlaka imkanye pia yule shabiki wetu wa YANGA anayeingia na njiwa uwanjani... ule ni unyanyasaji na utesaji wa wanyama, haufai hata kidogo
sidhani kama atamaliza muda wake vizuri... labda ahurumiwe, anakera mno... anawaza kupambana na watu badala ya maendeleo ya soka na miondominu yake, ligi inazidi kukuwa ila miundombinu bado ipo hovyo
honestly kilichofanyika kwa yanga ni ubunifu wa nini kikae kwenye jezi.. hasa jezi ya kijani na nyeusi.. lakini kwa simba huo si ubunifu, wamefanya kupachika rangi tu... hao VS ni online designer wa football kit.. unafanya tu kupachika rangi kwenye designing... YANGA ni pure design.. so yanga...
Kama una akiba ya eneo ambalo unaweza kuweka bustani.. ni vyema ukalima kwaajili ya kuku... ukianza na hizohizo za gharama wakati za bustani zipo kwenye ukuaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.