Tanzania ya leo inahitaj wauguz walosoma mambo ya dah! mwanangu amefel ....mpeleke akasome unesi/uuguzi(nukuuu kutoka mtaani) yakome! tuwe na restrictions ilikupunguza wauguz wavamizi(wasofaa) katka hosp....make mda mwingine unaona ata aibu kusema wewe ni muuuguz coz of the current...
kweli nimesikitishwa na ninaendelea kusikitishwa na uamuzi huu unaofanywa na watu ambao sijui wanatumia nini katika kufikiria!...
jaman navoelewa mimi muuguzi ni mtu ambae anatakiwa kuwa na elimu bora just like any orther professiions!..tatizo letu tunamuona muuguz kama chombo ambacho ni cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.