Forums
New Posts
Search forums
New Posts
New Posts
Latest activity
Members
Current visitors
Verified members
Log in
Register
Trending
Search
Search
Search titles only
By:
Latest activity
Register
Jamii Check
Stories of Change
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Change style
Contact us
Close Menu
Start Discussion
Staff Online
Fichua Uovu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Navigation
General Forums
Sports &
Entertainment
Education, Tech
& Professional
JF English Only
Forums
East African
Forums
Members Only
Stories of Change
JamiiCheck
Fichua Uovu
Search
Search results
Huu uvaaji wa Millard Ayo kwenye msiba wa Gardner umenishangaza sana
Nilikuwa kijijini naandaa mashamba😄nami nimefurahi pia mkuu nikaona nikudokezee😄
Prince Kunta
Post #106
38 minutes ago
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Huu uvaaji wa Millard Ayo kwenye msiba wa Gardner umenishangaza sana
Umetulia kwenye sofa nyumbani kwa dadako bando lenyewe umepewa na mume wa dada yako unamjadili Millard Ayo, fanya uende ukamchukue Junior shuleni
Prince Kunta
Post #45
Today at 11:56 AM
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
KMT Wiki Hii Msajili wa Vyama, Jaji Mutungi, Father Kitima, Balozi Amina Salum Ali, Ismail Jussa, Mjengwa, Selasini, Kibamba, Cheyo Waunguruma!.
Uyo Mjengwa ni kada mtiifu wa CCM hawezi kuchambua siasa labda kusifia CCM na kuponda upinzani tu
Prince Kunta
Post #13
Feb 5, 2024
Forum:
Jukwaa la Siasa
Tetesi:
Ole Sabaya kuwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam
Prince Kunta
Post #74
Jan 13, 2024
Forum:
Jukwaa la Siasa
Ngushi bye bye Yanga
HUyo anaenda Coastal Union anaingia katika kikosi cha kwanza bila shida, Yanga chuo Ngushi ameshafuzu
Prince Kunta
Post #4
Jan 13, 2024
Forum:
Jamii Sports
Tetesi:
Ole Sabaya kuwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam
Watu walishatoa ushahidi na alishahukumiwa mahakamani kwa matendo yake aliyofanya ni vile Tz nchi ya hovyo ndo mana ametolewa
Prince Kunta
Post #64
Jan 13, 2024
Forum:
Jukwaa la Siasa
Tetesi:
Ole Sabaya kuwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam
Ila sasa hivi atakuwa na adabu maana amepata ubatizo wa moto
Prince Kunta
Post #23
Jan 13, 2024
Forum:
Jukwaa la Siasa
Tetesi:
Ole Sabaya kuwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam
Huwa wanasema aliyehukumiwa kwa kosa la jinai hapaswi kuwa mtumishi wa umma....Sabaya ni jambazi lilipaswa kuwa gerezani
Prince Kunta
Post #22
Jan 13, 2024
Forum:
Jukwaa la Siasa
Hali ya mvua kwenu ikoje?
Kinondoni
Prince Kunta
Post #12
Nov 15, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
"Try again" amefarijiwa na Rais wa FIFA Infantino. Kiaina
Try again ameshawajua mashabiki anaowaongoza ni mambumbumbu wanapenda sana habari kama hizo kwahyo nae anatembea humo humo tu
Prince Kunta
Post #18
Nov 15, 2023
Forum:
Jamii Sports
Hali ya mvua kwenu ikoje?
Hapa nilipo inanyesha sana
Prince Kunta
Post #6
Nov 15, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Rais Samia akikupa mualiko Ikulu wa dakika 5 utamshauri nini kama kijana wa kitanzania?
Nitamshauri aniteue ukurugenzi wa jiji la Dar es salaam
Prince Kunta
Post #52
Nov 15, 2023
Forum:
Jukwaa la Siasa
Hizi Vanguards zimekuwa nyingi sana
Vanguard ni RAV4 iliyochangamka
Prince Kunta
Post #10
Nov 15, 2023
Forum:
JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)
TETESI: Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu kujiuzulu muda wowote kuanzia sasa
Hizi goli 5 za Yanga zitaondoka na wengi sana pale kwa makolo uwenda kuanzia kocha mpaka meneja wa habari nae rungu likamkuta
Prince Kunta
Post #2
Nov 7, 2023
Forum:
Jamii Sports
Iringa: Mke wa Mtu na Mume wa Mtu wafia Mgahawani wakiwa uchi
Mke wa mtu tututu sumu Mume wa mtu tututu sumu
Prince Kunta
Post #158
Nov 7, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Hatu ya Makundi CAFCL: Inaweza kutokea Simba na Yanga kupangwa kundi moja
Droo ya bila kufungana au ya 1-1 au kufunga goli moja na zaidi
Prince Kunta
Post #45
Sep 16, 2023
Forum:
Jamii Sports
Hatu ya Makundi CAFCL: Inaweza kutokea Simba na Yanga kupangwa kundi moja
Kwenye hatua ya makundi haziwezi kukutana labda kuanzia robo fainali na kuendelea ni kama makundi ya UEFA timu za nchi moja hazipangwi kundi moja.
Prince Kunta
Post #44
Sep 16, 2023
Forum:
Jamii Sports
FT | Al Merrikh 0-2 Young Africans | CAFCL Group Stage Qualifier | Pele Stadium, Kigali | 16.09.2023
Sasa wakulaumiwa ni serikali yao kwa kushindwa kuweka hali ya amani uko Sudan. kazi ya Yanga ni kukufuata popote ulipo na kukuchapa tu
Prince Kunta
Post #440
Sep 16, 2023
Forum:
Jamii Sports
FT | Al Merrikh 0-2 Young Africans | CAFCL Group Stage Qualifier | Pele Stadium, Kigali | 16.09.2023
Anauguliwa na baba yake mzazi, wala hakusafiri na timu
Prince Kunta
Post #96
Sep 16, 2023
Forum:
Jamii Sports
FT | Al Merrikh 0-2 Young Africans | CAFCL Group Stage Qualifier | Pele Stadium, Kigali | 16.09.2023
Kila lakheri timu ya Wananchi Yanga
Prince Kunta
Post #91
Sep 16, 2023
Forum:
Jamii Sports
1
2
3
…
Go to page
Go
25
Next
1 of 25
Go to page
Go
Next
Last
Search
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Forums
New posts
Post thread
Back