na wakiruhusu tu busara ya kumuuzia mvamizi kwa bei ya soko ndio itafungulia mlango wa uvamizi wa viwanja vya watu kwa makusudi kabisa.dawa ni kukubaliana na bei ya mwenye kiwanja au ubebe mzigo wako uhamishie kwenye kiwanja chako halali.
[emoji23] kwanini uhisi mtego na kazi umetangaza wewe ila hizo taarifa hukuwa umeweka na wala picha ulizoweka hazioneshi hiki ulichonijibu?
Kama tangazo lako na hiki ulichonijibu havipishani,nitakutafuta kwa ajili ya kazi.
Pole kwa maswali mkuu
1.set zako unatumia camera brand gani?
2.DVR ni brand gani?
3.specs za camera unazotumia ni zipi?
4.Hard drive unaweka ya ukubwa gani kwa set ya camera 8?
Tuanzie hapo then mengine yatafata
tumezaliwa tumekuta wazee wanatoa hizo tahadhari,lazima kuna walichoona na kuwakuta.usijaribu kushindana na nature,kuna watu wako hivyo tu hata wawe wamesoma na kupata exposure ya dunia nzima.lazima wawe hivyo tu sababu ndivyo walivyo.sasa wewe nenda kajichanganye kwa warangi,wamburu au wahaya...
from your writing i can tell,you were a very good and strategic player.ulisahau tu one of the basic principles of gambling ya "do not run after the losses" na hapo ndio wengi wanapopotea.
this game like any other,is associated with luck.one must accept siku haziwezi fanana.u loose your first bet...
Kwa Tanzania itakuwa ni ngumu tu kuzipata sababu hata uelewa wa sababu ya mkono wa kuzivalia watu hawana.kama una mtu yuko nje ya Tanzania muagizie zipo nyingi tu
hii ndio kanuni sahihi ya uvaaji saa na kwa kuongozea tu,saa zinatengenezwa kutokana na mkono unaoivaa.saa ya kuvaliwa na mtu wa mashoto(lefty) ambae ataivaa mkono wa kulia,ile knob yake ya kubadili majira huwa inawekwa tofauti na saa ya kuvaa mtu wa right.
Unaandika kishabiki,wapi umeelezwa mgawanyo huo wa mali?hukumu ya divorce na maamuzi yake yamefanywa siri kwasababu walikuwa na makubaliano kabla ya ndoa.
Usiwaogopeshe watu kwasababu wewe ilikushinda.people make fortunes out of gambling duniani kote na hii ni proffession kama nyingine tu,it takes alot of hours and patiency to master.wengi wanafeli sababu wanataka kutengeneza hela ya haraka kwa mtaji mdogo lakini pia hawataki kuinvest muda kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.