Kwani wakati hawajaoana alikua fresh? kama alikua mzima before basi mwambie rafkiako pamoja na kumshirikisha mwenyezi Mungu pia kuna mambo anatakiwa achunguze
1) Achunguze kwa makinj kama na mpango wa kando yani anamchezea ofside maana anaweza jifanya mzee wa ulimi kumbe amesha piga huko nje...
Kula nyanya chungu kwa wingiiiii, halafu usige moyo huna maumbile makubwa wala nini sema wanaume wote inaokutana nao wana vibamia wasikubabaaishe! ipo siku utakutana namwanaume halisi mnaelingana uone kama hayo maji utayaona, achana na vibamia bana vinajihami mtaani kukj dhalilisha usivitangaze
Mama kijacho full kudeka utadhani anazaa dunia wakati wenzie wana watoto 12 na jembe walisika mpaka wanaingia kujifungua mfyuuuuuu, mchunie anavyokwambia usimuendekeze, shida yake unuke ili usipendwe na warembo wengine hapo uoga wake unamsumbua tu anaogopa kuibiwa kwakua ana mimba, funga maskio...
Sijawahi ona mbinge mbae hana hata chembe ya hekima au busara kwenye kichwa chake kama mbunge wa nzega, sikuzote kakalia ugomvi tu akiulizwa hivi yeye huelekeza kwingine na anapenda sana kuongeza maadui kila siku, Grow up man aaa.
Kwanza sio tabia nzuri mwanaume kulala kwa mwanamke wake, kwa sisi wamatumbi mara nyingi inaleta maana kama msichana ndo atalala kwa bf wake bwana,lakini kuhusu kulipa kodi kwani ni lazima mpenzi wako akulipie kodi? mapenzi hayahusiani na kodi kabisaaa, waschana tuanatakiwa kulijua hilo. If...
Kwanza sio tabia nzuri mwanaume kulala kwa mwanamke wake, kwa sisi wamatumbi mara nyingi inaleta maana kama msichana ndo atalala kwa bf wake bwana, kuhusu kulipa kodi kwani ni lazima mpenzi wako akulipie kodi? mapenzi hayahusiani na kodi kabisaaa, if mnapendana kikubwa hapo ni mapenzi then fanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.