Wakuu,
Kama mada inavyosema hapo juu, naomba msaada wakujua tiba ya magonjwa hayo mawilii.
Maelezo;-
Kutetemeka mikono, hii hutokea mara kwa mara na zaidi zaidi pale nipofanya kazi za kutumia nguvu au hata mazoezi na mara nyingine pindi nipokasirika au kuwa na wasiwasi najikuta vidole vyote...
Poleni na majukumu wakuu!
kama mada inavyo onesha hapo juu naomba mwenye ujuzi anisaidie.
Make kuna utata umempata mtu wangu wa karibu yeye yupo jirani na nyumba ya starehe sasa kati ya nyumba yake na nyumba hiyo kuna uchochoro na mmiliki wa hiyo nyumba ya starehe aliweka sakafu kumaliza...
mh
hivi ndo naanza nahaswa pale nnapo pata wasiwasi juu ya wanasiasa wa TANZANIA juu ya siasa zao au ndo kama ule msemo wa usiache mbachao kwa msala upitao????
HOJA ZA MSINGI NIKUONA
1, TUMESAHAU KABISA MAANDAMANO YA CHADEMA.
2, TUMESAHAU KABISA SUALA LA DOWANSI. NA MGAO WA UMEME...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.