Msimkatishe mdau tamaa, amesema dhamani ya kile anachokiona cha thamani kwake na bei anayotaka ni 50k, huwezi jua ukimpatia hiyo amount utakua umemkwamua kiasi gani. Mwenye nayo ampatie tu jamaa, unaweza kuifanya kama sadaka tu ama fungu la kumi
Excitement/ msisimko is a very basic content ya kumfanya mwanaume apagawe. Wanawake mnatabia ya kujisahau na kuruhusu hiyo kitu ipotee. Ushauri wangu: Katu usikubali hiyo kitu ipotee katika mahusiano yenu.
That tiny little thing that captures and holds his attention. Hold onto that!!
Now you are married!!! Hii kitu huwa inashangaza ila ndivyo ilivyo. Mtu anaanza kukudai hela hata salamu hakuna, unajiuliza kwenye akili ana nini? Uji ama mbege?
Kazini kuna stress kibao,umri wetu wengine umeeenda sana, vijistori kama hivi vinatupa insight ya maisha ya ujana wa siku hizi.
Angalizo: Kijana, kumbuka wazee tunasabiri umalizie kastori, ole wako uzingue!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.