Search results

  1. Felixonfellix

    Umiliki na mamlaka ya Zanzibar juu ya kisiwa cha Latham (Fungu Mbaraka)

    UMILIKI NA MAMLAKA YA ZANZIBAR JUU YA KISIWA CHA LATHAM (FUNGU MBARAKA) Imetayarishwa na OTHMAN MASOUD OTHMAN Nimefarajika sana kuona kwamba Wazanzibari wengi wamepata muamko mkubwa kuhusiana na maslahi ya Zanzibar katika suala la kisiwa cha Latham (Fungu Mbaraka). Hii ni faraja kwa vile...
  2. Felixonfellix

    MAONI KUHUSU KATIBA MPYA Kutoka kwa: M.M. Mulokozi [Januari 2013]

    DEMOKRASIA NA KATIBA MPYA NCHINI TANZANIA MAONI KUHUSU KATIBA MPYA Kutoka kwa: M.M. Mulokozi [Januari 2013] Profesa Mstaafu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, S.L.P. 35110, Dar es Salaam: [tamulokozi50@yahoo.co.uk] Wakati tunajadili utungaji wa Katiba mpya ya Tanzania, ni...
  3. Felixonfellix

    Matiti ni Mali ya nani?

    Matiti ni chakula cha mtoto!Linapokuja suala la matiti wanaume wengi (si wote) hunyang'anyana hati miliki ya matiti na watoto wanaonyonya hata hivyo wanawake nao kila mmoja ana mtazamo wake tofauti, hebu angalia maoni ya wanawake hawa wa Nigeria wanavyojibu swali la nani ni mmiliki halali wa...
  4. Felixonfellix

    Wanawake wanavyoivaa mikenge kwenye ndoa..............!

    Ngoja leo niyadadavue makosa yanayofanywa na wanawake wengi pale wanapoamua ni nani wa kuoana naye: 1. Kosa la kwanza, unaolewa na mtu ambaye unajua kabisa ni dhaifu na mkorofi, ukitarajia kwamba ataondoa kasoro zake akiwa ndani ya ndoa. Hili ni kosa kubwa. Kama huna furaha sasa na mtu kabla...
  5. Felixonfellix

    CWT na serikali wote wagomewe na walimu

    NA, GORDON KALULUNGA NIWEKE wazi kuwa huu si uchochezi bali nataka niweke ukweli ambao ni sawa na juisi ya Mwarobaini ambayo ni chungu lakini inaponya homa kali. Hivi karibuni viongozi wa chama cha walimu Tanzania (CWT) katika mikoa na wilaya wameunga mkono kile kilichoitwa mgomo wa walimu...
  6. Felixonfellix

    Waraka no. 1 wa mwaka 2012 wa Mbunge kwa Wananchi- “Ukweli ni Uhuru”- Mnyika

    Waheshimiwa Wananchi wenzangu, Amani iwe kwenu, Kwa kipindi cha wiki nzima kumekuwepo na mjadala mkali bungeni, kwenye vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na katika taifa kwa ujumla juu ya bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2012/13 sanjari na yaliyojiri kutokana na kauli niliyotoa...
  7. Felixonfellix

    Siri ya spika makinda kukwepa kugombea ubunge yaanikwa

    Spika Anne Makinda ZIKIWA zimepita siku chache toka mbunge wa jimbo la Njombe kusini Anne Makinda ambaye ni spika wa bunge kutangaza kutogombea ubunge tena katika uchaguzi mkuu mwaka 2015,mtandao huu wa Francis Godwin Mzee Wa Matukio Daima waibuka na siri nzito za...
  8. Felixonfellix

    Maoni ya mh. David kafulila kuhusu marekebisho ya mswada wa katiba

    MAONI YA MH. DAVID KAFULILA Habari Watanzania, Nina maoni tofauti kuhusu hiki kinachoendelea kuhusu marekebisho ya sheria ya kusimamia mchakato wa katiba mpya. Nimejaribu kuomba kuchangia ili niweke maoni yangu wazi lakini imeshindikana, Spika amesema NCCR amepewa mtu mmoja tu Mh. Machali...
  9. Felixonfellix

    Kuachana

    Luka 16:1 8 "Kila amwachaye mkewe na kumuoa mke mwingine azini naye amwoaye yeye aliyeachwa na mumewe azini." Wapendwa katika Bwana, nawasalimu wote katika Jina la Yesu Kristo Mwokozi wetu, atakayewahukumu walio hai na waliokufa. Nimesukumwa leo kulizungumzia suala hili zito: Suala la...
  10. Felixonfellix

    Kulikoni www.raiamwema.co.tz

    Wadau tusaidiane Toka jana mtandao wa Gazeti la Raia Mwema unagoma. Je mwenye taarifa yoyote kuhusu jambo hili? Forbidden You don't have permission to access /vigogo-wa-richmond-wamhujumu-kikwete on this server. Forbidden You don't have permission to access / on this server. Additionally, a...
  11. Felixonfellix

    Umeme ukikatika dar, raia wanashangilia: C C M C C M SI SI EMU SI SI EMU!

    Habari za asubuhi wadau Asubuhi ya leo nimepigiwa simu na rafiki akaniambia jambo la kushangaza sana. Katika baadhi ya maeneo ndani ya jiji la Dar, kila wakati umeme unapokatika utasikia makelele mengi ya washangiliaji. Wote kwa lugha moja wanasema C C M C C M SI SI EMU SI SI EMU SI SI EMUUUU...
  12. Felixonfellix

    Tunalalamika sana??????

    Tunalalamika? Tunapinga? Tunahoji? Tunakataa? Watanzania wanapojadili mapungufu ya nchi(national deficiencies), na kuyarudia na kuyarudia, tunaambiwa eti "tunalalamika tu bila kutoa suluhu ya matatizo hayo". Suluhu? Nani anasikiliza? Tuitolee wapi hiyo suluhu? Wabunge ndio wawakilishi wetu...
  13. Felixonfellix

    Tanzania tunahitaji dictator

    Tanzania tunahitaji dictator, mwenye nia ya maendeleo, ili wote tuingie kazini tuache malumbano na hoja ambazo kwa ujumla ni za kupoteza muda. Tumpate wapi kiongozi dictator asiye na huruma hata kidogo kwa kiumbe yeyote wa Tanzania mwenye uwezo wa kufanya kazi anazembea. Asiye fanya kazi...
  14. Felixonfellix

    Hivi huku sio kubaka kweli?

    Kama kubaka ni hali ya mwanaume au mwanamke kulazimisha kufanya tendo la ndoa bila hiyari ya mwingine, basi wanawake wengi sana walioko kwenye ndoa hubakwa na waume zao kila siku. Kubakwa huku kunatokana na ukweli kwamba wanawake wengi hulazimika kukubali kufanya tendo la ndoa na...
  15. Felixonfellix

    Binti msagaji katengenezwa na wazazi!

    Malezi huweza kuwaathiri! Mwanamke ambaye ana tabia a kujilaumu yeye kama mwanamke na kulaani kuwa kwake mwanamke, yuko kwenye nafasi kubwa ya kumuuwa mtoto wake wa kike kisaikolojia. Kuna wanawake ambao kwa kuudhiwa na waume zao au hata na wanawake wenzao huwa wanapenda sana kuropoka...
  16. Felixonfellix

    Skilled, Semi Skilled and Unskilled Workers

    Dear Friends, There is a significant difference in wages for different category of workers. Unskilled workers Skilled workers Semi Skilled workers. My query is how these categories are defined ? If Mr. A is a semi skilled worker in a factory; what are the criteria for...
  17. Felixonfellix

    Rushwa ya ngono maofisini

    Jamani maofisini kuna mambo ambayo yanasikitisha sana. Tuna wataalamu wengi tu ambao utaalamu wao wameupata kimashaka hasa kwa rushwa ya ngono. Mbaya zaidi wanaendeleza tabia hii hata wanapokuwa maofisini au katika sehemu zao za kazi. Utashangaa wanapanda vyeo kila kukicha. Kisa tu kamridhisha...
  18. Felixonfellix

    Tuition imeua vipaji vya wanafunzi

    Jamani kama kuna shimo la kufukia vipaji, na uwezo wa kufikiri kwa wanafunzi wetu ni TUITION. Sijui wazo hili lilitoka kwa nani. Tution ilizaliwa miaka ya 1990s na mbaya zaidi baada ya mwaka 2000. Tuition inafanya wanafunzi wasijiamini kabisa. Wanaona mwalimu wake darasani hawezi...
  19. Felixonfellix

    Tuition imeua vipaji vya wanafunzi

    Jamani kama kuna shimo la kufukia vipaji, na uwezo wa kufikiri kwa wanafunzi wetu ni TUITION. Sijui wazo hili lilitoka kwa nani. Tution ilizaliwa miaka ya 1990s na mbaya zaidi baada ya mwaka 2000. Tuition inafanya wanafunzi wasijiamini kabisa. Wanaona mwalimu wake darasani hawezi...
  20. Felixonfellix

    Skilled, Semi Skilled and Unskilled Workers

    Dear Friends, There is significant variations of wages for different category of workers. Unskilled workers Skilled workers Semi Skilled workers. Mt query is how these categories are defined ? If Mr. X is a semi skilled worker in a factory what is the criteria for keeping him...
Back
Top Bottom