UMILIKI NA MAMLAKA YA ZANZIBAR JUU YA KISIWA CHA LATHAM (FUNGU MBARAKA)
Imetayarishwa na OTHMAN MASOUD OTHMAN
Nimefarajika sana kuona kwamba Wazanzibari wengi wamepata muamko mkubwa kuhusiana na maslahi ya Zanzibar katika suala la kisiwa cha Latham (Fungu Mbaraka). Hii ni faraja kwa vile...
Swali kwa mtoa mada!!
Unataka wanasayansi wa aina gani??
Unataka wahandisi wa aina gani?
Unataka wana mahesabu wa aina gani???
Maana kama unataka uwaone kama walioko CCM hutawapata.
Siyo kweli kabisaaa, mie niko Mwanza. Cha mno sana walifunga barabara yetu ya Makongoro!!! Alikuwa na ratiba ya kusimama kidogo Pasiansi, na baadae aendelee na safari yake kuelekea Geita akishamaliza kutembelea ofisi za mkoa kichama.
Inakuwaje wizara ya maliasili na utalii wanatoa vibali vya kufanya utafiti wa madini ya aina mbalimbali katika mbuga za wanyama na hifadhi za wanyama?
Je, ni kwanini wizara inaruhusu migodi ifunguliwe katika hifadhi hizo wakati wizara hiyo hiyo huwazuia au kuwakatalia wananchi wanaohitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.