Search results

  1. M

    Jinsi gani naweza pokea pesa kutoka Kongo kupitia mitandao ya simu?

    Naomba kuelekezwa ni jinsi gani naweza pokea pesa kutoka Kongo kupitia mitandao ya simu yani namaanisha mpesa, airtel money au tigo pesa
  2. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu kampuni gani hii na hii optioni inaitwajwe
  3. M

    Majibu

    Msaada ni NJIA ipi Kati ya hizo naweza tumia kwa ajili wa kuweka na kutoka pesa ikaja kwenye account ya benk au mtandao wowote wa simu tanzani
  4. M

    Msaada, nikienda Mahakamani naweza sikilizwa?

    Mimi lengo ni kulipa deni ila na Mimi nibakiwe na laki ili niweze kuishi
  5. M

    Msaada, nikienda Mahakamani naweza sikilizwa?

    Lengo ni kuwalipa kidogo sio kuacha kuwalipa na nikae huru bila kusumbuliwa
  6. M

    Msaada, nikienda Mahakamani naweza sikilizwa?

    Mimi ni muajiriwa Serikalini. Nilikopa kwa watu wanaotoa riba alafu yeye anabaki na kadi yako ya benki mshahara ukiingia anachukua. Tulienda nao vizuri baadaye Mambo yaka ingiliana uwezekano wa kuwalipa ukawa haupo nikaanza kuwapiga chenga mshahara ukiingia Mimi natoa kwa NMB Mobile. Jamaa...
  7. M

    Mshahara wa July 2019 vipi?

    Write your reply...kwa wale WA nmb tayari salio linasoma
  8. M

    Mshahara wa July 2019 vipi?

    Write your reply...salary ilishatoka mda hu kwa wale WA nmb
  9. M

    Msaada

    Kama kuna mtu anafahamu namba ya huduma kwa wateja ya halotel tofauti na 100 anijulishe
  10. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Msaada wadau kwa betpawa mechi ya Torino na sasuollo nimechagua option ya penalt awarded nikaweka (no) sasa nashangaa nimeandikiwa lose alafu tena wameandika to be update mwenye kuelewa wanamanisha nn msaada tafadhili
  11. M

    Watumishi wa umma Kibondo mmepata mshahara?

    Jamani mwenye taarifa juu ya ili tatizo atujuze kumbe sio kibongo tu kuna halmashauri nyingine
  12. M

    Watumishi wa umma Kibondo mmepata mshahara?

    Hivi kuna mtumishi yoyote idara ya elimu halmashauri ya wilaya kibongo ameshalipwa mshahara mbona halmashauri nyingine wamelipwa tangia tarehe kumi na nane ya mwezi huu tatizo nn kibondo
  13. M

    Tetesi: Salary

    Salary out naona wametoa mapema tutumie kwa makini
  14. M

    Mshahara wa mwezi April umeshatoka?

    Oyeye Ye Ye Salary Out Mda Hu
  15. M

    Mshahara wa Disemba 2017

    Ebwana Shimo Limetema Chek Kwenye Mobile Bank Yako Naona Folen Kubwa Hapa NMB
  16. M

    Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

    Salary Tayari Nyongeza 7500/= kwa tgts b
  17. M

    Mshahara wa mwezi May vipi watumishi?

    Now Salary Out Mda Hu Kama Vp Chek Na Mobil Bank Ujiridhishe
Back
Top Bottom