Mimi ni muajiriwa Serikalini. Nilikopa kwa watu wanaotoa riba alafu yeye anabaki na kadi yako ya benki mshahara ukiingia anachukua.
Tulienda nao vizuri baadaye Mambo yaka ingiliana uwezekano wa kuwalipa ukawa haupo nikaanza kuwapiga chenga mshahara ukiingia Mimi natoa kwa NMB Mobile. Jamaa...
Msaada wadau kwa betpawa mechi ya Torino na sasuollo nimechagua option ya penalt awarded nikaweka (no) sasa nashangaa nimeandikiwa lose alafu tena wameandika to be update mwenye kuelewa wanamanisha nn msaada tafadhili
Hivi kuna mtumishi yoyote idara ya elimu halmashauri ya wilaya kibongo ameshalipwa mshahara mbona halmashauri nyingine wamelipwa tangia tarehe kumi na nane ya mwezi huu tatizo nn kibondo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.