Bima ni mkombozi mkubwa, inatufanya tutafute huduma sahihi wakati wa uhitaji pasipo kujari gharama. Wekeza kwenye BIMA kuponguza gharama na kuwa na uhakika wa matibabu sahihi wakati wa uhitaji
Hapo naweza sema ni suala la uelewa tu mlitofautiana, Kama alikuwa na appointment ya kurudi kwa follow up huwa mwezeshaji hakutakiwa kukuzuia, so si NHIF wenye makosa
Kila kitu kina utaratibu wake, ukisoma vizuri maelezo ya vifurushi vya Bima, inakuonesha huduma unazo weza kuzipata kupitia kifurushi ulichochagua, idadi ya vipimo unavyoweza vipata kupitia hkifurushi hicho na vituo vya huduma na wameelekeza kuanzia ngazi ya chini Hadi Hospitali ya Taifa lakini...
Kama Hadi muda huu hujajua ni wapi patakifaa, maana yake hufai kuingia kwenye Hilo tamanio, maana yake hujui agenda za vyama vilivyopo nchini.
Ni vema ukaendelea kuitumikia nchi kwa taaluma yako, maana Kuna maeneo mengi yanayohitaji utatuzi kupitia taaluma yako
Mtu wa kwanza wa kukali usalama barabarani ni abiria mwenyewe, toa taarifa unapoona ukiukaji wa uendeshaji wa vyombo vya usafiri barabarani, hata iwe mchana.
Tatizo hili limetengenezwa na wazee wenyewe, kijana akioa kwa tamaduni ya kisukuma anaishi kwa wazazi wake, na inakuwa sehemu ya nguvu kazi yake kwenye Mashamba na mifugo yake. Atatoka kwa mzazi wake baada ya kupewa shamba.
Kwa ufupi kijana na familia yake wamekuwa wakiishi katika hali ya...
Division one na uchambuzi wa Mkataba vinahusiana vipi?
Kila anahaki ya kutoa maoni yake kwa namna alivyosoma na kuuelewa Mkataba, mwisho wa siku hoja yenye nguvu itapewa nafasi ya maamuzi.
Tatizo kubwa nalo liona kwako ulikuwa mtekelezaji wa mipango ya familia na si mtengeneza mpango, that why mtengeneza mipango alipo acha kukushirikisha umeshake.
Tulia mobilize resources tengeneza mipango ya familia, hutaendelea kujuta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.