nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ya tumbo ambalo linakuwa kama linawaka hivi
baada ya kufanya Liver Function Test majibu yamekuwa kama yanavyoonekana.
LIVER FUNCTION TEST
SERUM ALBUMIN HIGH 51g/l kawaida 35-50
SERUM TOTAL PROTEIN HIGH 83g/l...
YEGOSHIKA, nashukuru sana kwa majibu yako mazuri, hizo components nyingine kwa kweli sijauliza,
Actually hii ndio mara yangu ya kwanza kupima kwa sababu hawa jamaa, kila kitu lazima upime, huwezi pewa dawa, mpaka upime.
KUSEMA kweli hata mimi nimeshangaa lakini inaonekana hizi measurement za...
HISTORIA
MDOMO WANGU KWA ASILI NI MWEKUNDU.
MWAKA 1998 NILIANZA KUWA NA VIDONDA KWENYE ULIMI AMBAVYO KUNA WAKATI VINAKUWA VINGI SANA NA KUNA WAKATI VINAKUWA KIDOGO AU KUPOTEA (MPAKA SASA NAVYOANDIKA) ILA KWA SASA KUNA TOKEA KAMA VIDONDA NA VITU VYEUPE(UTANDO) KWENYE MAKUTNO YA MENO YA CHI NA...
Vile viwanja vilikuwa Mali ya NAFCO (HEKA 700) kipindi kile cha mashirika ya umma. KATIBU MKUU wa CCM FISADI Makamba ndie akampatia pande mr MANJI (ila na makamba yumo) kipindi kile akiwa mkuu wa mkoa wa DSM. Ndoa ya manji na Makamba haikuanza leo imeanza siku nyingi na ndio kipindi kile manji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.