Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo...
Afrika ni masikini sana. GDP yetu Tanzania ni hela ya bilionea mmoja tu wa Marekani. Mfano Elon Musk alitoa Cash USD Bilioni 44, yaani zaidi ya nusu ya GDP yetu kununua twitter na bado ana utajiti wa kutosha. Yaani mtu atoe nusu ya utajiri wa Tanzania kama vile ananunua pipi na bado hatetereki.
Mimi kama mwanaume natambua vizuri kabisa wajibu wa watoto kutambua upendo wa baba kwenye familia lakini pia natambua ukweli ulio wazi kwamba hakuna namna ukatenganisha watoto na mama yao ama upendo wa watoto kwa mama yao.
Wanaume tutimize tu wajibu wetu kama wanaume hayo mengine tuyaache tu...
Mwanaume huwezi kwenda kwenu likizo ama kusalimia ukaingia nyumba ya mwanamume mwingine mfano kaka yako ama baba yako ambae amejenga huko. Mwanaume lazima uweke alama ya kudumu kwenye ardhi ya kwenu.
Unadhani kwa nini wahindi wanaishi hapa Dar na kufia hapa hapa Bongo lakini maendeleo wanafanya...
Mtoto wa kike sio wa kumuwekea dhamana, atakuaibisha. Wewe hope for the best from her ila ukiweka 100% expectation utaishia kupata sifuri.
Marehemu hakua na hela yoyote jana ndugu yake mmoja alikua anamponda kwamba hata kwao hakujenga.
Mwanaume yoyote unaejielewa ukipata pesa cha kwanza ni...
Mwanaume hua hajitangazi na wala hana sababu ya kusema yeye ni mwanaume. Toka lini mwanaume akasema yeye ni mwanaume, uanaume unaonekana tu by default. Nitakuja leo pia mama nikukaange mtoto mzuri.
Huwezi kutengeneza ukoo wako from nothing. Wewe ni product ya ukoo wenu huko nyuma. There are men who brought you here so you have to respect your ancestry DNA.
Hii nchi vyeo vinapatikana kwa kujuana sio kwa unachokijua.
Bongo ukionekana unajua sana unahamishiwa vijijini.
So bongo wanaopewa nafasi ni wasiojua hata kujieleza ila wanaojuana na wakubwa na machawa wa wakubwa.
I am glad hata unaulizia jina la kiafrika. Mpumbavu mwingine angeenda Google kutafta majina ya kizungu ampe mtoto wake. Jina lolote ni zuri hakuna jina la kiafrika wala la kizungu zuri.
Mpe jina la ukoo wako achana na kutafta majina ya ukoo wa watu na jamii nyingine.
Jina la ukoo wako ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.