suala la MAHARI si la utashi wa wazazi ni suala la kisheria kama alivyowasilisha mleta mada. hivyo ukiona kuna mambo meengi , angalia je hapo ulipoenda kuoa DINI IKO.........? kama hilo haliko basi lazima utakutana na hayo lkn UISLAMU ni mfumo kamili wa maisha.
hakuna shart la kisheria ktk kufunga ndoa kwenye UISLAMU linalosema hivyo. UISLAMU NI DINI NYEPEESI KTK KILA JAMBO. KWANI KILA JAMBO LINA MAELEKEZO YAKE HIVYO UKIKUTA UKAKASI KAMA HUO, TAMBUA NI UZUSHI.
NASIKIA MKOA WA DSM kule Kigamboni serilaki ktk tafiti zake iligundua chanzo kikubwa cha maji baridi kule KIGAMBONI chenye maji mengi yasiyo mithirika. ....lkn cha kushangaza makaratasi yakawekwa kwenye makabati eneo lile wakauziwa WATU BINAFSI NA LEO WAMEJENGA KIWANDA CHA MAJI...
ASALAAM ALAYKUM, mm sio mwanasayansi ,bali nataka nikurejeshe ktk hiyo AYA. ni tofauti nawewe ulvyoandika. aya inasema KISHA TUKA TUKAIUMBA TONE KUWA DAMU ILIYOGANDA. WEWE UNASEMA UNASEMA MTOTO ANAUMBWA BAADA YA MBEGU KUINGIA KWENYE DAMU ILIYOGANDA......(UNAPOTOSHA HIYO AYA.) kwa...
sigara ni MAKURUHU, unaweza kuvuta baada ya kupata futari, lkn si kabla ya hapo ndani ya mwezi wa RAMADHANI. bali UISLAMU unakataza kutumia kitu chenye kudhuru afya yako, sigara ikiwemo.
WARUHUSIWE KUOA HAWA VIUMBE , NI NGUMU KUPINGANA NA MAUMBILE ALIYOKUUMBA NAYO MUNGU , KWA KUDAI ETI DINI IMEKATAZA ....................!!! UISLAMU NI DINI YA HAKI...
tatizo hamsomi kitabu vzr, hakuna mahala MUNGU anazuia mtu kuoa mke halali, ndio maana inakuwa vigumu kuthibiti jambo hili kwani ni maumbile yetu aliyotuumba nayo MUNGU.
hawa wanasiasa muda wote wanafikiria watanzania bado ni wale wale wa 1977 february tarehe 5, na kuna baaadhi yao huenda wana kazi maalum , huyu makala alipokuwa mbeya soko la chimala kila mara likiungua, kaja dsm ni yaleyale ...................!!!!
KAMA sijasahau BUNGE cchini ya BW NDUGAI lilitunga sheria kwa kada maalum kuongezewa muda wa kufanya kazi hata baada ya kufikisha umri wa kustaafu kwa lazima , mfano madaktari .
muundo mzima wa jeshi hili umepitwa na wakati. LINGEFUMULIWA ILI KULIUNDA UPYA. sehemu kubwa ya jeshi hili si waadilifu, hata yule kijana HAMZA aliyewamiminia risasi polisi , inasemekena pia walimzurumu madini na fedha.
UKIUNGANISHA NUKTA UTAKUTA KANA KWAMBA LILE SWALI NA JIBU , VILIRATIBIWA MAPEEMA , NA ZZK NDIO MAANA HAAMINIKI KWANI ALIULIZA SWALI SAWA....!! LKN MBONA JIBU TOKA KWA SSH, LILIKUWA LIKO KWENYE MAANDISHI....................?? ALIKUWA ANAMJIBU KWA KUSOMA KARATASI , ULE...
kumbe fukuzafukuza ya wafanyabiashara ndogo ndogo mtaani ina baraka yako.................? mlipowakatisha vitambulisho ilikuwa ni hadaaa..................? MAISHA YAMEKUWA SIO MHE RAIS hii ni dhima kubwa , swahaba IMAMU ALI ZAMA ZA UONGOZI WAKE ALIFIKIKA HATA KUMPIKIA...
WAZO ZURI , NA HATA INGELIPATAIKANA ILE KATIBA PENDEKEZWA YA MZEE SINDE WARIOBA. ILIKUWA INAUNAFUU KWA KUNDI HILI LA WALA JASHO LA WATANZANIA BILA TIJA KWA SEHEMU KUBWA.
dunia inazunguuka, iko siku watatoka na ninyi wenye roho mbaya kwa binaadamu wenzenu pasi na kisa mtabaki mkichukia zaidi. ila ukumbuke hujafa hujaumbika.
mjibu hoja nakupongeza , hii ni taabu ya kuwa na waandishi wasio waandishi. TAALUMA HII IMEVAMIWA . na biashara ya magazeti imekuwa ngumu kwa sasa kutokana na teknolojia. huyo muandishi uchara anatakiwa kujua KUNA UISLAMU , NA MUISLAMU.
uko makili timamu ........? wapi huyo muhuni aliwahi kufufua na nani aliyewahi kumfufua , angeleikuwa na uwezo huo asingeliacha kanisa na kukimbilia siasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.