Kijana fanya mara hii kuwekea vipaumbele moja ama zote kwa pamoja kozi zifuatazo (i) BSc. Industrial Engineering Management au /na (iii) BSc. Productiona and Operations Management za chuo Mzumbe Chuo Kikuu.
Habarini wanajukwaa nina ufahamu kuwa mada kama niliyoitaja hapo juu imekwisha jadiliwa. kwa ambaye ataweza kuniunganishia thread zilizopita nitamshukuru sana. ninataka kuachana na kile king'amuzi cha kwanza kufika...
Habari yako mkuu, nadhani Engineers Registration Board utakuwa unapafahamu, mkabala(opposite, kama utashidwa kufika ulizia ERB watakuelekeza) yake kuna jengo linalohusiana na usajili wa kampuni zakikandarasi kama ambayo unataka kuianzisha( specifically registaration of mechanical contractors)...
Kama ilivyo kawaida, makabila mengi yalipewa majina ya makabila yao na watu wengine.Wenyeji wa Mkoa wa Pwani na Jiji la Dar es Salaam, yaani Wazaramo walipewa jina hilo na ndugu zao Waluguru!
Mambo yalianza vipi?
"Eneo ambao leo linajumuisha Mkoa wa Pwani lilikuwa likikaliwa na watu wa kabila...
Habari zenu wakuu!!
kabla sinaenda kwenye mada husika, ninatunguliza swali langu, nime-update operamini yangu ya zamani na sasa ninaitumia mpya. shida inakuja pale ambapo ninashindwa ku-save pages zangu ili kuweza kuzisoma nikiwa offline. kwa yeyote ambaye anaweza kutupa maelekezo ya namna ya...
Habarini wana jukwaa? husikeni na kichwa cha habari hapo juu, deadline, utaratibu pamoja na gharama ya kubadilisha plate namba za pikipiki TRA zenye mfumo namba wa zamani, kwa mfano T 174 ABC na kwenda namba mpya zenye kuanzia na MC 123 ABC. nawakilisha.
uwe na tabia ya kunywa juice ua ukwaju mkuu wandai huwa inasaidia regulating amount of blood sugar mwilini. madokta watakuja kwa kukushauri kitaalumu zaidi.
kama savings za download zako zinaingia kwenye internal storage huwa inakuwa hivyo, kwani space yake inawahi kujaa, fanya memory card yako kuwa ndiyo default storage hilo tatizo litakwisha.
...zaidi kuna vipele vinavyowasha sana vingi vingi
maeneo ya tumbo, bega, shingo na hata kiuno
nikidhani mkanda wa jeshi(herpes zoster)... lakini
cha kunishangaza hasa mpaka kuuliza accuracy
ha hicho kipimo, ni siku ya jana nilienda pima HIV
na kupewa majibu kuwa ni NEGATIIVE!!!!!!!!!!!!!!
Baada ya kufanya ngono isiyo salama kwa miezi takribani isiyopungua sita huko nyuma, mwili ulianza kutokuwa katika hali yake ya kawaida, nimekuwa na homa za mara kwa mara miezi yote hyo, kichwa kuuma, fatigue na mbaya....(simu ilizima charge sikuweza kumaliza thread yangu) ...zaidi kuna vipele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.