Aanze na TANESCO hii taasisi ni hovyo kabisa. Huku wilaya ya Bunda wanakata kata umeme. Wanaacha nusu saa wanakata tena zaidi ya mara kumi kwa siku. Mchezo ndio huo huo kutwa na usiku mzima. Bora waseme kuna mgao kuliko kuunguza vifaa vyetu
Wameshaunguza dikoda yangu tayari.
Kwa siku wanakata na kurudisha zaidi ya mara kumi huku wilaya ya Bunda. TANESCO shida ipo wapi?
Serikali ichukue hatua dhidi ya haya maumivu tunayopata. Hasara imekuwa nyingi
Konyagi wao wamechukua ideas ya pombe za Kizaramo (Gongo) wakazalisha hii. Ni vyema makampuni mengine yakaiga. Sikosei zile pombe za Banana ndio idea ya mbege
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.