weka picture na ueleze kinapatikanaje ama toa no zako za cm, fanya jambo kisomi km umeamua kuelimisha na kutoa msaafa kwa wale tunaoitaji tutakipataje hicho kifaa
niikuulize swali km wewe unataka kuoa dada zako wanakushauli uachane na huyo mchumba wako, swali langu kwako ni hili cku dada yako akija na mchumba wake unadiliki kumwambia dada yako kuwa ujampenda bwanake? atimaye atafute mwingine acha ujinga wewe ni mtoto wa kiume na anayeoa ni wewe na c dada...
nyie ccm hamtaki mtu asemwe mabaya yake wote karibia ni mazuzu kwhiyo kp walichomsingizia na juu ya ubunge sawa hatushangai kwakuwa hamna kawaida ya kuwaadhibu watu kama hawa ktk chama chenu na nyie ndie mnaorudisha nyuma tanzania yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.