Kichwa cha habari hapo juu chahusika. Hii nchi mara baada ya kwisha ubaguzi wa rangi ilikuwa moto kwenye soka. Ilishiriki fainali za mataifa ya Africa na kombe la Dunia. Ilikuwa na wachezaji nguli kama Siyabonga Nonvete, Mark Fish, Quintone Fortune na baba lao Lucas Radebe. Lakini siku hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.