Shida na kwa upande wa watoa huduma ipo, wanaweza kukupa dawa ya India lakini mfuko wa NHIF ukadaiwa bei ya dawa ya ujerumani. Mungu tuokoe waja wako kwani mboga na ugali vyote vya moto!
Stori za aina hii enzi zile za 2007 hazikuwepo. Kila enzi na kitabu chake. Wakati ule waliokuwa na uwezo wa kuingia mtandaoni walikuwa watu makini kidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.