UDSM pale COICT Kijitonyama kuna certificate na diploma ya computer science, ukiachana na uzuri wa fani utapata faida ya kuwa karibu na communities mbali mbali za Technology
kama unataka ICT nadhani Open university can be the best option
Nimekuuliza wew maana jinsi ulivyofananisha charts za Clouds na Billbroad ni kama mfumo wao wa nyimbo kuingia kwenye charts unafanana kitu ambacho si kweli
Chama cha mawakili sio entity ya serikali..mfano kuna Baraza la madaktari la Tanganyika ambalo lipo kwa mujibu wa sheria na ni entity ya serikali halafu kuna Chama cha madaktari ambacho chenyew hakipo kwa mujibu wa sheria na sio entity ya serikali
Lakini kwa wanasheria kuna chama tu hakuna...
Prof Michio Kaku aliwahi kusema Marekani ina mfumo mbovu zaid wa elimu
Ironically kama marekani ina mfumo mbovu wa elimu,nchi nyengine huku ni hovyo kabisa
Mkataba wa Yanga na Morison ulikugundukika una dosari baada ya morison kuishtaki Yanga TFF,sasa kweny hili la mkataba wa Simba na Morison,Yanga wanashtaki kama nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.