Habari gani wana jamvi wote humu.
Nimekuwa nikiulizwa juu ya Teknolojia hizi za kiulinzi katika maeneo yetu ya biashara na makazi. Nimekuja Jamvini kama ilivyokawaida ya Jamvi letu moja ya sifa yake kuu huku ni kupeana elimu na Updates, basi kwa heshima naomba kufungua chapisho hili na kwa...
Linda Ofisi yako, Nyumba yako na Hata mifugo yako kwa Teknolojia za kisasa.
[emoji457] Kwa Tsh. 22,000/ unapata complete Electric Fence kwa Meter.
[emoji457] Tsh. 800,000/ unapata Full Set ya 4 CCTV Camera.
[emoji457] Tsh. 1,520,000/ unapata Full Set ya Auto Gate Motor.
[emoji457] Tsh...
Are you formatted, au umeamua kutafuta spying angle kutaka kujua kama watu wanajua aua hawajui ya “corridor”
Miaka kadhaa nyuma habari za “WHITE CORRIDORs” zilikuwa ziko exposed kiasi kwamba raia wakapata dada wa taifa na kigogo wa taifa, tetesi za mwendazake kutuacha zilianzia humu though...
Pia kuna uwezekano kama angefanya Basic landing kungekuwa na impact kubwa zaid ya pale, landing za design hiyo ni salama zaidi baharini au hata sehemu yenye surface kubwa kuwezesha ndege ku sink bila ku collide mahali, alichofanya rubani wa precision kilikuwa ni salama kwa 90% kama abiria wote...
HUU NI UKWELI USIO DHAHIRI ILA NDIO UKWELI.
NI UKWELI AMBAO UNAFICHWA NA HUTAKIWI KUFIKIRIWA HATA CHEMBE ILA NDIO UKWELI.
UKWELI WENYE KIOO CHA TINTED ILA NDIO UKWELI.
VIONGOZI NA MATAJIRI WOOOTE WANATUMIA UKWELI HUU KUFANIKISHA MALENGO YAO YA KISIASA NA KIMAISHA.
NJIA NI MBILI TU ZA...
BADO NI BIASHARA HURIA ILA LAZIMA KUWE NA REGULATORS WA BEI HAKUNA UHURU BILA SHERIA, UHURU LAZIMA UJUE UNAANZIA WAPI NA UNAISHIA WAPI. INGEKUWA HIVYO HATA DALADALA WANGEKUWA WANAJIAMULIA TU NAULI ZAO SABABU NI BIASHARA HURIA MKUU.
MAKATO GANI HAPO ?
IKO HIVI, BOLT HAJAAJIRI MADEREVA WALA HANA MAGARI, MADEREVA NDIO WAMILIKI WA MAGARI YAO WENYEWE NA HUTUMIA MTANDAO WA BOLT KUPATA WATEJA/ABIRIA KILICHOKUWEPO NI KWAMBA MADEREVA WALIANDAMANA KUPINGA COMMISSION AMBAYO BOLT HUWATOZA MADEREVA KWA KILA NAULI/SAFARI WANAYOFANYA...
Haijawahi 20, miaka yote iko 25+ kwa miaka zaidi ya minne sasa ukizingatia maisha na vifaa vya magari vinapanda kila siku. Wao bei zao zilikuwa zilezile na na bado wanapandisha commision week tatu au mbili nyuma #Bolt walikuwa wanachukuwa hadi 33% per trip.
WENGI NAONA HAWAELEWI HII ISSUE, IKO HIVI
BOLT HAJAAJIRI MADEREVA WALA HANA MAGARI, MADEREVA NDIO WAMILIKI WA MAGARI YAO WENYEWE NA HUTUMIA MTANDAO WA BOLT KUPATA WATEJA/ABIRIA KILICHOKUWEPO NI KWAMBA MADEREVA WALIANDAMANA KUPINGA COMMISSION AMBAYO BOLT HUWATOZA MADEREVA KWA KILA NAULI/SAFARI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.