Kauli ya waziri = kauli ya serikali
waziri kombani anasema kuboresha muswada kuhusu uundwaji wa tume ruksa, kufifisha hapana. Je, ndo kusema maoni ya kuupinga muswada sio maoni na serikali haitaki kuyasikia? So kwanini wanakusanya maoni ya watanzania kama hawataki kukosolewa?
So watanzania...
Naomba tuchunguze wanaoenda UDOM wana IQ kiasi gani, then tujadili ubora wa elimu zinazotolewa(hapa tutagundua wasomi wetu wanataalumika badala ya kuelimika).
Pia nina shida na vyuo vyetu, they are too passive struggling to earn a degree through cheating or otherwise. Hapa tunahtaj elimu ya...
Naamini unapocomment hapa hutakiwi kudhani bali uwe na uhakika. Tambua kiini cha tatizo, ukitambua utapata jibu kwanini na ni nini CDM inahitaji katika ile walkout. Naamini hata Mr. President anaelew
nimegundua wewe ndugu kishongo ni mtu wa kuogopwa sana... Posting zako ni negativity always, try to live in the reality side of life even if u do get your daily bread from the exisisting system in power. Tetea ukweli daima, kufa kwa kusema ukweli; mungu atakubariki kwa hilo
emma, zamani unamaanisha mwaka gani?
Ila ufahamu kila jambo lina wakati muafaka wa kufanya....... Huu ndo wakati wa jambo hilo. Kama una ushauri mbadala toa
kama senior members ndo wanaandika upupu kama wako, basi sipendi niwe senior member kama wewe.
Ni vigumu sisi kufahamu hiyo dhamira yako unayosungumzia. Hoja yako ni udini na ukabila ndani ya chadema, hilo si kweli. Jaribu kila jambo unalofanya kulireason ndugu yangu, usiandike tena upupu...
Mr president anaonesha wao kama chama cha ccm wana nia ya wazi ya kuwapa wanawake nafasi muhimu za uongozi nchini kama sehemu ya kuwawezesha.... Na hili anasema ndo maana wakamteua mama makinda agombee uspika.
Najiuliza maswali
1. Kwanini asingeacha kutetea nafasi yake nawamteue mwanamke na...
Ndugu kumbuka nia ya chama cha siasa si kuendesha miradi, la sivyo kwa wazo lako ingeitwa ccm investment. Hii ngeleta maana zaizdi kama chama cha wafanyabiashara na iachie kuongoza taifa kwa chama mbadala....
Matatizo ya chama yanajulikana, wayatatue ili waongoze dola katika misingi inayotakiwa
Haya bwana, uwezo wako wa kufikiri unakuonesha wanatafuta umaarufu.......... Kama njia waliotumia haifai shauri njia mbadala.
Nakukumbusha bwana makamba alisema hivi ni vyama vya msimu, nadhani sasa anatafakari..... Nawewe muda wako wa kutafakari utafika
ndugu, wewe utakuwa uchi wa mbuzi sasa..... Kumbuka hata wakoloni waliwatumia machifu kuwanyanyasa watu wao, naamini hata cuf wameshirikishwa kama machifu enzi zile.
Tunachotaka ni ukombozi wa kweli kwa mtanzania
Ndugu kumbuka hayo ni matokeo ya wakati. Wakati ni kama umri, ukifika huwezi zuia. Mfano, ukifikia uzee mvi utaota tu... Kuficha atanyoa upara, au apake dawa ila ukweli ni kwamba amezeeka na ndo maana ana mvi. Ndo kilichomtokea si kwamba anapenda, uzuri yeye kaacha mvi uonekane sababu anaelewa...
Nasikitika sana nchi yangu kuwa na watu wenye ufupi wa mawazo kama wewe... Kasome kwanza KATIBA ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na sheria ya uchaguzi ufahamu vinatoa mwanya gani kwa Dr. Slaa kufanya nini na wakati gani.
Usipende kushambulia watu kwa maneno makali bila kuwa na evidence...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.