Kama unamaanisha foreign award verification, basi aende ofisi za TCU ili awaeleze hiyo changamoto, sometimes hua wanachelewa kutoa hiyo assessment, ni bora ufike physically pale.
Labda extra duty, au training ambazo ni nadra kupata.
Cha muhimu ni mtu uingie kwenye system uwe na check number, halafu tafuta namna ya kuchomoka kwenda taasisi nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zile za mwaka jana walikua specific wanataka fresh graduate au mwenye uzoefu usiozidi miaka mitatu..
Hua wana specify kila kada wanataka mtu wa aina gani
Kweli kabisa mkuu.. na kuhusu Algebraic Expressions wametoa introductory part tu, hamna calculations labda module zijazo.. binafsi hata sina background ya science nafosi mambo tu [emoji16]
Sjapata maswali yote, part ya welcome nimepata maswali mawili kati ya manne,
Swali 1 @ 25 marks, nimepata 50 marks
Algebraic Expressions nimepata yote, 100 marks
Attendance, 100 marks
Jumla nimepata 250 marks na 3 badges.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.