Mshahara nasikia ndio muda wote amekuwa anatoa tangu aondoke yule dada anaitwa Rose Mwakitwange. CEO nasikia amekuwa akienda kupewa hata milioni mia cash na kubeba kwenye mamifuko ya rambo.
Mshahara hawezi toa tena kampeni zimeanza ukizingatia RA anagombea majimbo kibao kama nzega, simanjiro...
Naomba kueleza wazi kwamba sikumwelewa Mh. Panda kwa kauli zake tata alizozitoa wilayani Igunga nazo ni
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka wananchi wa Jimbo la Igunga mkoani Tabora kutomkataa mbunge wao Rostam Aziz wakati wa uchaguzi mkuu ujao kwa kusikia maneno yanayosemwa bungeni juu...
Nae hajalipwa mshahara pia sababu ni mwajiriwa new habari.
RA ASILAUMIWE SANA TATIZO NASIKIA NI UONGOZI HAWAMWAMBII UKWELI WAO HUMWAMBIA MAMBO SHWARI NA HATA KUAMBIWA MSHAHARA TAYARI
RA WAKE UP!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.