Hahahaha chizi mmoja wewe!
Mbona hamzuii umasikini Kwa maombi au Ajali za Barabarani Kila siku zinaua watu mbona hamzizuii Kwa kuomba!
Jinga kweli wewe
Mondi kawabania wakina BabaJuni yule dancer wake Hadi wametoroka wako zao Marekani.
Nenda kafuatilie vizuri sababu ya wao kutoroka wcb mkuu naamini utakuwa unajua!
Ila ile sababu ikiwekwa hapa tutakimbiana!
Kumbe
IDADI ya watu ndio kigezo cha muziki kuwa mzuri na kuvuma!
Mbona south Africa wana IDADI almost na sisi na wana Amapiano inasikika Dunia nzima.
Tangu tunakua tunacheza KWAITO.
Kigezo cha IDADI ya watu sio kigezo namba Moja cha muziki kuvuma. China na India zina watu zaidi ya Bilion...
Somea football agent japo ni gharama
Ingia hapa ujifunze namna ya kuwa agent wa soka.
Tanzania maagent wa fifa hawazidi 10.
https://inside.fifa.com/legal/football-regulatory/agents/how-to-become-a-licenced-football-agent
Africa lazima uchukue tahadhari kabla serikali haijakupa tahadhari!
Chunguza wewe mwenyewe unaponunua kiwanja kuhusu hatari ya Hilo eneo. Je ni mkondo wa Maji. Sasa wewe subiri uambiwe au utangaziwe kuwa Hilo eneo ni hatari.
Mtu unaenda kuweka kuku wa milion 50 kwenye eneo la mkwajuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.