Mwenye taarifa ya ajali ya gari ya IT iliyotokea Mdaula nmesikia ilikuwa na abiria wa 5 hajatoka hata mmoja, nilikutana na foleni kubwa hapo saa 10 alfajiri
Aweanaishi Arusha mjin atafanya kazi chin ya kampuni na atalipwa kwa week
Uwe chini ya miaka 33
Wadada wataendesha mjin leseni ikiwa ya biashara itapendeza zaid ila kikubwa uwezo kwenye driving
Mkaka we utakuwa wa masafa marefu wewe uwe na cheti cha driving veta au NIT
Tuma cv 0716176602...
Naombeni kufahamishwa wap naweza pata mkopo wa gari ndogo kwa ajir ya biashara ya tax iwe ni bank au mtu binafsi nina kiwanja Bunju kikubwa na kina hati miliki lejesho naweza fanya 150,000 kwa week bila shida au kama una gari waweza nikopesha pia kwa hayo makubaliano
Gari za watu hesabu ipoo...
Naombeni kufahamishwa wap naweza pata mkopo wa gari ndogo kwa ajir ya biashara ya tax iwe ni bank au mtu binafsi nina kiwanja Bunju kikubwa na kina hati miliki lejesho naweza fanya 150,000 kwa week bila shida au kama una gari waweza nikopesha pia kwa hayo makubaliano
Gari za watu hesabu ipoo...
Ni hiv nina amaount ambayo siijui (x) nataka niki izidisha mara 0.18 jibu lake ni jumlishe na hiyo amount ambayo siijui(x) nipate 378 msaada
Mfanya biashara nime kwama
Kuna haja ya serikali kusitisha huduma mara moja kwa kampuni ya usafirisha ya Tahmeed
Ambayo inaongoza kwa ajali ambazo zina fanana moto moto kilasiku wao ni moto wameshindwa gundua chanzo cha moto kwenye magari yao nina wasi wasi yatakua chin ya kiwango ndio sababu
Nakama yataendelea kutoa...
Nauza printer nimeitumia kama miezi miwili, bado ni nzima vya kutosha, ni HP inkjet 2135 inafanya kazi 3 kwa pamoja ambazo ni: Printing, Scanning na Photocopying. Anayeitaka ani-PM nipo dar
Kama ghorofa ina Juu na chini
1. Juu
Vyumba vyakulaa 4
Kila chumba kina choo ndani.
Sebule kubwa
Jiko kubwa na stoo yake
Dining kubwa
Public toilet
Jumla ya varanda za kupumzikia zipo 4.
2. Chini.
Sebule,
Chumba na choo ndani
Pia kuna stoo kubwa sana chini
Parking kubwa
Kisima cha maji
Umeme...
Naomba jibu kama ndio hiv au ni vya nin
======
Ni hivi, huyu dada anakaa Arusha, nilikutanaga naye kwenye semina moja hivi tukabadilishana contact kiukweli nilitokea kumpenda sana huyu cos ni mzuri sana yani mzurii natamani hata niweke picha zake but nimeona sio poa kisuuu yani white ana...
Jamani nawaomba kesho muwe makini na taharifa mbalimbali mtakazo zipokea nyingine zaweza kuwa sio za kweli kutokana na siku ya kesho 1/4/2017 ni siku ambayo watu wengi wana amini ni siku ya wajinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.