Kansa ya Shingo ya mlango wa uzazi ni bure kupimwa.
HIV ni bure.
MOYO
ECG ni 30- 36k
ECHO ni 140k and above.
FIGO
Kuna ultra sound na vingine ila ultra sound ni kuanzia 15k.
INI
inategemea dokta atashauri kipimo gani.
KANSA YA MAZIWA
Sijawahi kuchekiwa TZ. so sijui gharama zake ila najua...
Dear Missy Gf nime log in kwa lengo moja tu la kukupa asante.
Uji wako umenisaidia kipenzi.
Nimeongezeka hadi nimepitiliza kidogo😃 ila najipenda hata nguo sasa zinakaa na ngozi imenawiri kama nimetoka uzazi🤣🤣.Ingekua sio kuogopa kuambiwa lipia tangazo ningekurushia kapicha ujionee🤣😃.
Anywayz...
Jana nimempa mtu hizo ingridients zako na yeye akaniongezea na mchele na mbegu za maboga kanitengenezea unga mzuri.
Jana jioni nimeupika nikaweka na maziwa fresh na ya unga kuongeza ladha yaani ni mtamu hatari 😁 halafu unanunikia vizuri sana.
Leo nishakunywa vikombe viwili na pia nahisi unaleta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.