Kama umepokea simu 84 c uchague sasa kinachokufanya uendelee kutafuta watu wengine nini sasa kweli jina tu hataree pia yawezekana kweli ni danguro hilo kazi halali weka tangazo open watu wajue na lodge yako iko wapi ha ha ha weka mbali na watoto
Ndugu sio wew ata mie nimeshindwa kabisa pia wanadai utoe copy ya vyeti certified then uscan combined na cv then ndo uapload du ila mie nataka nikajaribu tena ikigoma naacha2!
Wadau habarini za majukumu,naomba kujuzwa mshahara wa sales executive Tanzania postal bank kwani Mara kwa Mara naona wakitangaza nafasi zikiwa na one year contract ukiajiriwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.