fundi anapewa kiroba cha unga kilo 25,kifusi unanunua maandazi watoto wanajaza,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
mkikaaa humu kututishiaaaaaa sana nyie watu wa mjini, tukiwaulizia magari mnatutisha,nyumba mnatudanganya hapa m35,mi nimejenga na kagari hata m10 haijafika,we jenga kwa sifa shauri yenu
mi nataka nijenge nyingine kwa m3.5 na bia nakunywa
et m 35 wakati mshahara wa laki 7
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.