Are you sure with what your talking, kwa jinsi hali ilivyombaya ya ajira watu wanalilia hata kupata ktk hayo maeneo hawapati kama hawajatangaziwa kwamba kuna upungufu watajipeleka wenyewe?
Teh teh Rose umenichekesha, mie mwenyewe nimeishia njiani, lakini mtoa mada labda hajui lugha yetu naona hata locationa yake inajieleza, lakini bora angesummarize kidogo lo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.