Zinaongezwa sio kwamba zinaanzishwa kwa sababu zipo kwa zaidi ya miaka 20. Kigezo hizi Medium school za serikali zinatoza ada kidogo ya uendeshaji tofauti na private schools.
Maamuzi yoyote utakayofanya yana athari kubwa mbele. Chagua ambalo unaona ni rahisi moyo kulibeba. Sometimes ukifikiria sana kuhusu hali ya watoto itakuwaje malezi ya bila wazazi wote endapo mkiachana matokeo yake wanakupoteza wewe. Sio wakati wote ufikirie watoto itakuwaje? Fikiria wakikupoteza...
Kwa mfumo wa sasa biashara mbili tofauti zinakuwa na TIN namba moja endapo mmiliki wa hizo biashara ni mmoja labda aamue kumkabidhi mke au watoto umiliki wa kampuni mojawapo
Mangungu anaondolewa na upande wa wanachama ndio wenye mamlaka naye. Hao akina Try again wanasimama badala ya investor bwana Mwamedi so ana mamlaka nao
Tumejifunza kufunika kombe mwanaharamu apite kwa kuondoa mabishano ingawa kukaa kimya hutafsiriwa Kama mnuno. Tukiamua kuongea mahusiano yanakufa maana kuna wakati hamuwezagi kujishusha na hamchagui silaha ya kushusha kwenye moyo wa mtu.
Mimi naona umeandika kichuki zaidi. Yanga imependelewa kipi? Na F.A hawezi kuua urafiki na GSM kwa sababu ya uwaziri kumbuka kuna wakati alimfaa na kuna kurudi mtaani. Lazima awe na hatua ya kuanzia jinsi ya kuishi mtaani. GSM ni nguli wa biashara. Unajuaje kama anatafuta fursa za kujifunza...
Watu mnazungumza habari za watoto mnamsahau mtendwa. Hii kitu hawatakuwa na amani maisha yao yote. Hili jambo linaweza tokeza kifo mbele ya safari si la kuchukulia poa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.