Ingawa posti yako
Mkuu Trimmer Ahsante kunivuta shati. Academically ndivyo itakiwavyo.
James J. Angleton. Kama binadam wote tulivyo mapungufu hayakosi hakuna aliekamilika. Huyu Mzee Hana sifa nzuri Marekani kwa wanafuatilia. Nafasi aliodumu nayo ya Jasusi Mkuu wa Counter Intelligence...
Ingawa unalekea kua mwandishi mzuri baadhi ya maelezo yako Kuhusu James Angleton CIA officer 1954-1974 au 75 sio sahihi na mfano wako unaompimanisha Abu Omar (Fugitive extremist) na Sheikh Ponda (Social Justice Advocate), unampoteza msomaji na kumpandia mbegu ya fitna Mtanzania mwenzetu. It is...
Facebook Inadanganya Watu asema Pelosi. Spika wa bunge la Baraza la wawakilishi United States, ambae ni kiongozi wa tatu ngazi ya juu Marekani baada ya Rais, Makamu, kisha yeye. Kulingana na gazeti la Los Angeles Times May 30, Spika Nancy Pelosi alisema hayo kuhusiana na video yake iliofanyiwa...
Mkuu pia tukumbuke kua anaemlisha mbwa na alie daraja ya chini ya mbwa, wote hulishwa na WANANCHI. nakumbuka sinema "all dogs go to heaven" kwa hio, Wananch, wakimkabidhi mtu asimamie, yule aliekabidhiwa hana ruhusa ya kudai yeye ndo mwenyemali. Wote wanalipwa mishahara, lakini wizi wa mabilioni...
Bwana Kabwe, hawa kaka zetu walitutaka sisi tusome, baadhi yetu alhamdulilahi wenye huruma wametupa, Zitto hali za maisha kila mtu anaiona, mimi hili jukwaa hua simchangiji bali msomaji. Lakini siku hizi kukodolea tu nashindwa basi najikuta naishia hapahapa kule kwenye machakachaka yangu...
Ndugu Mussa Assad ni mfano muhimu wa kuigwa kwa Wahasibu wote Tanzania na kwingineko. Ukweli, Uadilifu ni chachu ya taaluma-Accountancy. Alichosema Mussa si kigeni wala si dharau. Hajafichua yaliyomo kwenye repoti. Hii niujumbe kwa viongozi, hasa wa biashara, ukidharau repoti yoyote ya...
Asante kunishauri niwe Mnafiki ambao mwisho wake ni kifo, Jaribu kuangalia Katiba ujue haki yako. Mwl. Nyerere alisema hivi "Utiifu ukizidi Huzaa Uoga, Uoga ukizidi huzaa Unafiki, Mwishowake ni kifo" Magufuli ni dhalimu. Raia wengi wamepotezwa na Kuuawa wakati wake kuliko, Nyerere, Mwinyi...
Hakuna sheria inayo mkataza mtu kuweka makazi eneo lisilomilikiwa. Serikali muda wote ilikua wapi? Sheria iliopo kwenye katiba ni kua walipwe thamani iliopo. (market value) endapo serikali itachukua eneo hilo kwa manufaa ya umma. Mfumo Katili umefika kwa wenyenao. Magufuli anataka Tanzania...
Yeye mwenyewe sitajiri Huyu Ustazi wa Chemistry. Watu wana msemo, jihadhari na MTU anamsotea mwenzie kidole Vitatu vinamuangalia yeye! Haya yote hadi maneno yake yanavunja KATIBA ya Jamuhuri.
Mistari yako ni hakika. Nilimwambia MTU dhana ya kua ccm wamemtajirisha kijana sasa wanamgeuka. na habari 90,000 skua nayo. wala korosho. Ndio maana Ndungai anapiga ribit wabunge kwenye swala la hela za korisho
1. Hii ni hatari na aibu sana kwa nchi. Yani ametupunguza hadi nafasi ya chini...
Why would the EMIRATES do that? you really wanna have African business men wandering around Sharjah looking for FX instead of goin shopping, how about tourists. Emirates would not invite that kind of retaliatory driven gimmick rubbish.
Weka kipumbu, au tumbula. ok how about bank account? Hiyo haitwi salio dogo, inaitwa saving. mwezi ujao tutakuonyesha jinsi ku-balance cheque book. Natoka baruti, hodari wa kuuliza we. excellent! adios amigo
Usichanganye revenue ambayo ni mapato ya biashara kwenye mchanganuo wako binafsi hili neno hutumika kwenye kunukuu mapato ya kibiashara. Wala siku yoyote rafiki, usichanganye matumizi ya biashara na matumizi yako binafsi. Ili kupata uhalisia. Umetumia neno "mapato na matumizi yangu" kumbe hii...
Blockchains' money could be taken as a consideration for example, but a buck will still be rolling, that's just a tiny fraction of the world wide circulation.
First of all, he needs to know why is Nigeria has been singled out and not the other two which he mentioned, Ghana and Gambia? In addition, why the action has taken place suddenly, what an emergency. There could be a good reason behind it.
Swali zuri, lakini kulelewa na mtu haina maana yule anaelelewa atafuata maelekezo ya mlezi ya anaemlea. Haya yako dhahir kwenye familia zetu na jamii. Alicho sisitiza Mwalimu Nyerere ni sifa na miiko ya kiongozi na wajibu wa Uzalendo.
Kwa kifupi maneno yake hasa kunako miiko ya kiongozi na...
Mkuu Nebuchadinezzer, hongera kwa findings ya tafiti yako. Sasa ni marufuku bila kibali maalum. Sidhani kama anatambua kua anauwa ubunifu higher education. inakua ngumu wanafunzi kufanya utafiti. bila research inabikia kubahatisha. na ni dhidi ya katiba freedom of information. Kutojali...
Post muwafaka, kuna wale vijana waliokua wako vyuoni kusomea ualimu, mara wakaachishwa masomo kwa sababu sikuzielewa. Vipi hatma yao, ikiwa shule zinafungwa kwa kukosa walimu. Nilifikiri, ulikua uamuzi wa haraka. Warudishwe vijana shule wamalizie. Tunasikia sifa kaongeza wanafunzi milioni...
"Evil prevails when goodmen do nothing"
"Evil prevails when goodmen do nothing" JFK. "Udhalimu huendelea pindi watu wazuri wasipofanya kitu".
Hongera Omari kwa uandishi mahiri na wa kufidisha. Nidhahiri kua UDHALIM na UKATILI unaofanywa na serikali hii ya Magufuli ni matokeo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.