Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewafukuza uongozi wajumbe 11 wa Kamati ya Siasa, akiwemo Mwenyekiti wa Wilaya Singida Mjini, Hamisi Nguli, kwa tuhuma mbalimbali ikiwamo kukisaliti Chama wakati wa uchaguzi mkuu.
Mlikua wapi ina maana na nyie mlikua mnashiriki,,,mmeona mmefungiwa ndio mnasema mnakuja kuanika uozo,,,,,wala msianike fungueni makampuni mengine ili mambo yenu yaendelee kama kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.