nimemsikia mara nyingi magufuli akiafikiana na malofa kuwa tufanye mabadiliko halafu kazi tu tunaifanya kama tingatinga lakini atatakaje mabadiliko ndani ya sera zilezile,chamakilekile?
watanzania msidanganyike hatuhitaji mtu tunataka mfumo mpya hivi magufuli ataweza kuimeza ccm yenye mtu kama chenge,tibaijuka,magufuli,wanriz,nk hawezi.
baada ya kuishi kibachela miaka kadhaaa nmeamu kuoa mke mwenye maadili yupo vizur ila naambiwa Mali hapa mkwelima ni ng'ombe 10,jaman basi nmekomaa wamegoma nmekubali,
nyie bishaneni turn Mimi tar 30,nachukua 510000 wakati dip unachukua 370000,Lakini pia walimu wa diploma hawako na ujasri huburuzwa name wakuu wehuuuuu.
Nilikua na girlfriend wangu tukiwa tunamipango ya ndoa enzi hizo sina kazi,nikapata kazi mbali na nyumbani nae still akiwa anasoma, tulipanga anitembelee huku nilipo baada ya field kuisha.
Lakini time ikafika mara ohooooo mama amekataza, kumbe anamshikaji wingine nikaona kweli fimbo ya mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.