Search results

  1. C

    Mtihani wa kidato cha pili

    one among of colonial education features is pyramid in shape!!!!!
  2. C

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    nimemsikia mara nyingi magufuli akiafikiana na malofa kuwa tufanye mabadiliko halafu kazi tu tunaifanya kama tingatinga lakini atatakaje mabadiliko ndani ya sera zilezile,chamakilekile?
  3. C

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    watanzania msidanganyike hatuhitaji mtu tunataka mfumo mpya hivi magufuli ataweza kuimeza ccm yenye mtu kama chenge,tibaijuka,magufuli,wanriz,nk hawezi.
  4. C

    Corrola inauzwa 3.2million

    Inahitaji kioo na bampa la mbele, cc1490, engine5e. Ipo Magu Mwanza nicheki kwa 0652828828.
  5. C

    Gari inahitajika bei 3.2million.

    wadau nahitaji Gari kati ya hiz corrola,mark11,Suzuki kei,Toyota vista,Volkswagen polo pia isiwe Na deni nicheki watsup kwa 0756757925
  6. C

    ila wasukuma bana ngo'mbe kumi nmechoka aiseer.

    baada ya kuishi kibachela miaka kadhaaa nmeamu kuoa mke mwenye maadili yupo vizur ila naambiwa Mali hapa mkwelima ni ng'ombe 10,jaman basi nmekomaa wamegoma nmekubali,
  7. C

    Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

    nyie bishaneni turn Mimi tar 30,nachukua 510000 wakati dip unachukua 370000,Lakini pia walimu wa diploma hawako na ujasri huburuzwa name wakuu wehuuuuu.
  8. C

    Gari au nyumba?

    vijana wengi tukipata kazi kipaumbele ni magari na sio kujenga tatizo ni nn?
  9. C

    Iam looking for a single woman between 30-32

    Serious nahitaji mwanamke aliye single wa umri huo ili awe wangu forever nina 27years now. Njoo pm ukihitaji.
  10. C

    Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mwenye kazi na kipato kizuri

    inahitaji tolelance ya juu kuishi na hawa wasomi
  11. C

    Aliniacha ila anajirudi nifanyaje?

    mh!mh!itakuwa ni type take wewe mbona umwfluuuu thana
  12. C

    Aliniacha ila anajirudi nifanyaje?

    no!hawezi kukataa yule sema siko na time nae
  13. C

    Aliniacha ila anajirudi nifanyaje?

    ahaaa Mimi tena nishapata mwingine long
  14. C

    Aliniacha ila anajirudi nifanyaje?

    nimekuelewaaaa Lazima ndo lengo lake
  15. C

    Aliniacha ila anajirudi nifanyaje?

    Nilikua na girlfriend wangu tukiwa tunamipango ya ndoa enzi hizo sina kazi,nikapata kazi mbali na nyumbani nae still akiwa anasoma, tulipanga anitembelee huku nilipo baada ya field kuisha. Lakini time ikafika mara ohooooo mama amekataza, kumbe anamshikaji wingine nikaona kweli fimbo ya mbali...
  16. C

    Miti inauzwa Njombe

    ni mi pine,miti peke yake nauza ipo kijiji kimoja kinaitwa ipepo karibu na I kinda hospital
Back
Top Bottom