Nipo vacation nchi ya watu marekani, nataka kununua tablet ila nina mashaka kama zitafanya kazi vizuri bongo.
Kwa wajuzi wa mambo, nahitaji kujua ninunue tablet gani ambayo nitatumia bongo vizuri?
Je kwenye tablet nako kuna locked na unlocked? Je nikichukua locked from at&t au t-mobile...
Habari za leo wanajamiiforum,
Nina shost yupo nchi za ughaibuni, anataka kusoma kati ya unesi au medical laboratories.
Ila bidada anataka akisha soma arudi zake bongo kufanya kazi. Mimi kwa ushauri wangu nimemwambia
bongo unesi haulipi, labda hiyo medical laboratories, ila nayo sijui kama...
Habari zenu wana jamii forums.
Jamani mwenzenu nahitaji mwenza,umri unanituma mkono.
>Umri wowote ule isiwe zaidi ya 50.Mie nina 29 years old almost kama 30 hivyo naona umri unakimbia.
>Awe na dini yoyote, mie muislamu ila naweza kubadili dini nikipata mkristo.
>Elimu atleast awe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.