Kwan kila kitu kinachotengenezwa na china n cha kizush??? Kwan kampun ya apple mbona iko china na simu za iphone zinatengenezwa na zinauzwa dunian kote,,, inshu sio china kuna makampun makubwa yameweka viwanda vyake china na kutengeneza bidhaa na kuuza dunian kote coz n base ya...
Acha uzush kusifia vitu vya ajabu,, nyimbo n mbovu sana,,, sasa anaimba nn kuna nyimbo kali zaid ya hii aliyotoa joh lakin azipat airtime.... Nyimbo ya songa feat jay moe mwendo tu,, n nyimbo kubwa sana lkn hazina airtime ila hawa wasanii wa media ndo wanapata airtime kwenye radio yao... Ukwel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.