Unadhani mahakama haijajiridhisha vizuri? Listen, saivi watu wanakuwa ni shareholder kwenye makampuni wanayoyamiliki na wanakuwa na share ndogo sana au hawana kabisa rather anakuwa ni advisor wa kampuni anayomiliki. So ukimtafuta kisheria mali anazomiliki humpati. What if Devis mosha anamiliki...
Kwenye somo la saikolojia kuna mada inaitwa "Growth and development" kama ambavyo mtoto wa miezi 6 - 10 anatabia ya kuweka mdomoni kila anachookota basi ni sawa na mtu kuanzia 50's , 60's na kuendelea. Huu unaitwa umri wa majuto. Wengi sana wanashindwa kukubaliana na ukweli kwamba walishapoteza...
Nadhani tudeal na tatizo la afya ya akili, wakiweka electric fence watu watajirusha ghorofani ili mradi afe.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Nikiri kufahamu uwepo wa mgao wa umeme nchi nzima kutokana na sababu hizi au zile kwa namna wanavyozielezea wahusika (TANESCO) na waziri mwenye dhamana.ILA KUNA HII KUBWA KULIKO.
Nipo Iringa mjini kwa likizo yangu ya mwaka, nimefika hapa nyumbani kata ya Igumbilo hali niliyoikuta kiukweli...
Na pilipili! Ipo hivi chief, huyu ndugu yetu possibly alipanda katika zile boat zenye sakafu yenye kioo maalumu kwa ajili ya kuangalia vilivyomo katika maji mafupi ya bahari ila si kuzama chini ya bahari. Hizo boat zinapatikana sana hapa bongo mfano ukienda Ruvula (msimbati) kule Maingilio ya...
Goba hapa! Alaaniwe in advance. Mtu (electrical engineer) anaamka asubuhi anamuaga mkewe anaenda job, kazini kwenyewe ndo kukata umeme.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Swali jepesi litakalozua maswali mengi "je wewe ni mtaalamu wa dawa za usingizi? I no...! Una uhakika gani kama dawa uliyomdunga ni ya usingizi na sio sumu?
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Bro inshort utakavojiweka ndo matapeli watakavokuingia. Mi nna kiwanja kibaha, mapinga na Goba, kibaha na mapinga kuna utapeli wa kutisha, tapeli mmoja aliuza plot yangu cz sijaenda kusafisha wala kupaona for sometimes. Sikutaka kugombana na aliyeuziwa, kwenda polisi wa kwa mtendaji wa mtaa. Mi...
hapo kwene familia kuwa complicated ndo penye chanzo. Kabla hujampeleka sober jaribu kumcheki afya yake.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
So mwamposa anazuia hayo yote? Ukienda kwake suala la moyo kusimama (kufa) halipo? You. Brain washed sheeps hebu amkeni asee
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.