Wakuu habari zenu, naomba mwenye licence key, product nunber na validation number kwa ajili ya QuickBook Premier 2018, au sehemu yoyote ambayo naweza kupata software yake. natanguliza shukrana
Habari gani wakuu, za majukumu?
Natumai ni wazima wa afya, naishi Zanzibar naomba kuelimishwa vipi nitaweza kufanya biashara ya vyombo vilivyotumika, nataka kuagizia moja kwa moja kutoka nje ya nchi.
Natanguliza shukrani.
Natumai ni wazima,
leo nakuja na swali nataka nijibiwe maana huku kwetu nimeona sana huduma hii nataka nitumie ila nasita kiukweli maana sijui ubora wake. Ni nini faida na hasara ya Liquid Screen Protector za simu?
Natanguliza shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za leo ninatumai ni wazima wa afya na mnaendelea na jukumu la kujenga taifa letu. si mweledi sana wa kuandika ila leo nimekuja na hili lililonitokea.
Kiufupi ni kwamba mke wangu ameibiwa simu yake ya android nyumbani kwake mchana kweupe sitoeleza stori yote ila baada ya tapeli...
Maisha ya sasa hivi haijalishi ni msomi au si msomi ila yanakua na changamoto nyingi sana. ulipopapata pashikilie kwa sababu juu ni kugumu sana na fursa nikidogo labda uwe na mtaji wakutosha
Habar zenu wadau. ninahitaji laptop used inayouzwa kwa alie kuepo Zanzibar. iwe na sifa angalau zifuatazo. RAM isipungue 2GB, Hard disk isipungue 320GB. alienayo naomba tuwasiliane.
nimeanza kutumia facebook na mitandao mengine mingi ya kijamii kama vile instagram, hi5, mocospace etc kipindi sasa. ila tatizo linakuja wakat nataka kutumia mtandao wa twitter, huwa sina mzuka nao na hatimae naacha kuutumia. mara nyingi huwa najiuliza ni kwa nini hali hii itokee. jee kwa kuwa...
wana JamiiForums wenzangu ninashida sana na hii program. nimejaribu kuidowload sikufanikiwa, naomba msaada kutoka kwenu jinsi yakuipata. May God bless yhu all
Wana JamiiForums wenzangu ninashida sana na hii program, nimejaribu kudownload lakini ckufanikiwa. naomba sana msaada kutoja kwenu niweze kupata hii kitu. may God bless yhu all!
naomba msaada simu yangu ukitumq sms mara moja zinaendelea kuingia zaid ya mara moja. nimejaribu kuristore lakin tatizo likawa lile lile. nifanyeje wadau nisaidieni please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.