SERIKALI IKUNE KICHWA TIMU YA KUPAMBANA NA BARRICK
Na EVANS MAGEGE,
KAMPUNI ya Barrick Gold Corporation kupitia mshirika wake Acacia, imeonekana kutaka kupeleleza ili kuwafahamu watu ambao watateuliwa na Rais Dk. John Magufuli kuunda timu ya kuiwakilisha Tanzania kwenye mazungumzo ya...
WAZIRI wa mambo ya ndani ya nchi,Mwigulu Nchemba,amesema hawatokubaliana na mtandao,kundi ama mtu anaehusika na kugharimu maisha ya askari ama wananchi wasio na hatia.
Aidha amebainisha kwamba kilichombele kwa sasa ,wanaendelea kuhakikisha kuwa wanarudisha silaha zinazochukuliwa katika matukio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.