Hizo dawa zipo lakni enyewe umeza kwa sku 5 kwanza ndupo utapata kinga dhidi ya ukimwi na ni muendelezo kunywa mpaka pale utakuwa mbali na hatari ya kuambikizwa ukimwi.. Kwa mfano mtu kazi yake ni kujiuza kwa njia ya ngono. Huyo kwenye hatari kwa hiyo huyo mtu anatakiwa ameze hizo dawa kwa siku...
Wapo kaka kuna proffesor wangu anataka kufanya utafiti juu ya chanjo ya korona lkn anaona gharama ni kubwa mnoo ameshaandika proposal
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nimekutana na hii hali ya msongo wa mawazo. Kumbe hata kutembelea mitandao inasidia kupunguza namshukuru Mungu nimejikubali kwa hali yeyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani simu yangu touch ya back zile ya chini yaani za kushoto na kulia zimegoma kutouch nimejaribu kuweka touch mpya lkn mambo ni yaleyale naombeni msaada. Cm yangu ni J5
HII NDIYO SHULE YA KWANZA KABISA KUJENGWA TANZANIA.
Mwaka 1848, Mmishonari wa Kijerumani Dk Johan Ludwig Krapf, alitembelea kijiji cha Magila kilichopo Muheza mkoani Tanga akiwa katika safari zake za Afrika Mashariki.
Magila kuna mlima ulio katika safu za milima ya Usambara ukipakana na mlima...
Usiongee kisiasa njo kwa wakulima vijijini uone tunavyoumia hiyo soko limesemwa juzi tu na hatuna uhakika kama zitanunuliwa. Yaani we acha kabisa tumelima lkn hata gharama za kilimo hazirudi tumerundika mbaazi store tu.
hoja yangu ni kwamba sisi was kanda ya kaskazini hususani wilaya za babati Karatu ATM ziko chache mfana halmashauri ya babati ATM iko mjini tu na Karatu pia iko moja pale mjini tu sasa inatuwia vigumu MTU kusafiri mwendo mrefu mngeweka ATM kwenye raasisi kubwa kwa mfano pale babati mngeweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.