vzr xana jpm but mahakama hyo lazma iwe huru na isiweze kuingiliwa na m2 yeyote na hata rais aweze kushtakiwa ikiwa itadhbitka kala rushwa na kiukwel iwe huru kwel kwel
Ujinga Kama Huo Wa Kushangilia Kuvunja Sheria Miaka Ijayo Tutegemee Serkal Kutiwa Hasara Kwa Sababu Za Kijinga Yaan Picha Unaiona Na Kusoma Hujui,je Utashndwa Kuelewa? Hata Kama Sheria Siijui Hapo Makonda Ana Chakujbu Asije Akavamia Baadh Ya Wa2 Ataumbuka Sifa Za Kijinga Huua
ww n mjinga kwel nenda shule maguful kafuta ada. makansan wa2 wanakula na kunywa kutegemeana muda wa kutoka hasa hapa dar. et wa ww n g thinker te. te.. tee! tumeingiliwa na g thinker wa brn
msiunge mkono kila k2 tafakal kwanza ndo maana mnaitwa g.thinker, kuna makund maalum ambayo sehem yoyote hasa nch tofaut huwa na sare zao na tusiwape mianya wa2 ya kupga pesa WA2 KUWA NA VITAMBULSHO INATOSHA
,
Misemo mingi sana ya wahenga ilitolewa na baadhi ya misemo hiyo imeanza kuleta maana kwa matukio yanayo endelea hivi sasa.
Kwa mfano msemo kama dawa ya moto ni moto. Huu msemo sikuwahi kuona mantiki yake kabla ila kwa sasa nimeuelewa vizuri sana.
Tundu Lissu katika Bunge la 10 ambalo...
Hujaacha Kukojoa Kitandan 2? Fisad Yup Ambae Anaogopwa Kufkshwa Mahakaman? Na Nape Mpinga Ufisad Up Ambae Alikana Kuwa Hawatoanzsha mahakama Ya Mafsad? Kwa Taarfa Ako Tutaanza Na Baba Ako Aliechukua LUMBESA LA ESCROW
xaxa mtu hawez hata kujibu maswal et ametulia utatulia vp wakat hata kujieleza n shda UMEMSIKIA MAGDALENA NA KUMSIKILZA ALIVYOSIMAMA ANAVYOONGEA NA KUJBU du kila cku mnaambia MBUNGE MMOJA WA UKAWA NI SAWA NA WABUNGE 20 mpaka 50 WA CCM sasa ndo maana wanajenga hoja kwa umakn xana na kwa akil...
niny wasom wa ccm mbona mna akl fup kama kibamia? ukawa katka mchakato wa ulitegemea mchakato wa ccm dom kwan kulkuwa na lengo la kumcmamsha m2 anaeweza kushnda na cyo msindkzaji. upande wa chadema chama kmojawapo klchopo ndan ya ukawa n nan hakutaka el aje? kama slaa hakutaka el aje kwann...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.