Search results

  1. C

    Ni lini serikali itaingilia kati huu wizi wa mitandao ya simu kuunganisha watu kwenye huduma wasizohitaji?

    Ni Jambo linakwaza sana. Unanunua vocha kujiunga na kifurushi unachopenda mara unapata ujumbe kuwa Salio lako halitoshi. Unafuatilia unaambiwa umejiunga na huduma za kidijitali kama vile "afya call" ,"Tikisa ushinde" n.k. Huna taarifa na huduma hizo,hujui umejiungaje na wala hujui zinahusu...
  2. C

    Ushauri kuhusu uchaguzi wa godoro bora

    Wakubwa,nipo kwenye mchakato wa kununua godoro zuri. Baada ya kufuatilia kwa kina nikagundua godoro la Spring la Tanfoam ndio the best. Sasa baada ya kufika kwa wakala kununua,nimekuta kuna godoro lingine premium,halina spring lakini linanesa sana na bei yake ni juu kidogo kuliko la Spring...
  3. C

    Ushauri wa Mabati bora ya kuezeka Nyumba

    Wakuu! Nimewakusanya hapa nataka tushauriane kuhusu bati bora za kuezeka nyumba. Zipo nyuzi nyingi humu nimepitia kuhusu hii mada. Nafahamu wengi wanashauri kuezeka kwa bati za ALAF. Lakini kuna hoja kwamba ALAF anauzia brand,kwamba kuna kampuni nyingine nzuri zinafanya vizuri lakini hazina...
  4. C

    Nimepanda kwa kutumia mbolea isiyofaa, hatua gani nichukue?

    Habari zenu wana jukwaa la kilimo. Nina shamba ninafanya kilimo cha mahindi. Nimenunua mbolea ya kupandia lakini muuzaji alichanganya akawapa vibarua UREA badala ya mbolea ya kupandia. Naomba kujua hatua za kuchukua baada mkanganyiko huu kwani vibarua wameshapanda kwa kutumia UREA.
  5. C

    Msaada kupata hii tamthilia ya Kiswahili

    Wakubwa nakuja tena kwenu kwa mara ya nne,naomba mtu anayejua mahala nakoweza kupata tamthiliya ya SIRI YA MTUNGI ikiwa imekamilika. Youtube kuna episodes chache tu.
  6. C

    Naomba Orodha ya Vitabu vyote vya Willy Gamba.

    Heshima kwenu. Naomba kwa anayejua orodha yote ya riwaya za kipelelezi za Willy Gamba katika mtiririko wake kuanzia cha kwanza mpaka cha mwisho anitajie. Nataka nianze kusoma ningependa kuanzia mwanzo. Asanteni.
  7. C

    Naomba kujua zinakopatikana khanga za Mombasa

    Habari wakuuu! Naomba kufahamishwa sehemu yeyote ambayo naweza kupata khanga za mombasa kwa bei ya Jumla nchini Tanzania. Kama una mtu unamjua anafanya hiyo biashara naomba kuunganishwa nae. Kwa aliyepo Dar es salaam ni vizuri zaidi.
  8. C

    Naomba Kujua Kuhusu Mikopo ya Riba nafuu kutoka Hazina.

    Heshima kwenu! Nimesikia kuna mikopo inatolewa na serikali kupitia hazina kwa watumishi wa uma. Nimetafuta nyuzi humu JF kuihusu lakini nimeona michango ni kidogo sana haitoi usaidizi mzuri. Ninaomba kwa yeyote mwenye taarifa sahihi kuhusu mkopo huu,vigezo na masharti vya kupata ,utaratibu wa...
  9. C

    Naomba kufahamishwa haya kuhusu mradi wa viwanja Bagamoyo

    Habari zenu! Jana kupitia ITV niliona tangazo kutoka kwa Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo akitangaza uuzwaji wa viwanja katika wilaya hiyo. Kwakuwa napenda kumiliki kiwanja Bagamoyo lakini kwa sasa nipo mkoani kikazi sitaweza kufika ofisini na kufanya maulizo. Naomba mtu...
  10. C

    Halotel ni wezi, wakimbieni!

    Nilikuwa mtumiaji mzuri sana wa mtandao wa Vodacom. Baadae wakaja kupandisha bei za vifurushi vyao kwa kiwango kikubwa. Niliendelea kutumia Vodacom kwa matumizi yangu makubwa na kidogo laini ya Halotel. Baadae nikaja kushtuka Vodacom ukiwa mteja mzuri wanakupandishia bei, vifurushi vyako...
  11. C

    Eneo la Biashara ya chakula linatafutwa Dar es Salaam

    Habari! Linatafutwa eneo katika mkoa wa Dar es salaam kwa ajili ya kuweka biashara ya Restaurant. Eneo liwe na population nzuri,watu wa kipato cha kati na juu na linalofikika kwa urahisi. Sehemu yeyote katika mkoa wa Dar es salaam itafaa ili mradi kuwe na potential ya biashara hiyo. Kama...
  12. C

    Tanzania The Royal Tour: Jicho la mwewe kwenye mapungufu na mwelekeo mpya wa ukuaji wa uchumi wetu

    Hatimaye Filamu maalum ya kutangaza utalii wetu imezinduliwa rasmi. Mapokeo ya filamu hiyo miongoni mwa Watanzania wengi yamekuwa makubwa sana huku matarajio ya kupaa kwa utalii wetu yakipaa juu zaidi. Mara ya kwanza nilipoona tangazo la filamu hii kwenye vyombo vya habari na mitandao ya...
  13. C

    Ushauri kuhusu kusoma degree kwa njia ya mtandao

    Habari! Nina Diploma in Clinical Medicine, GPA 3.4 ninahitaji kujiendeleza kwa level ya degree lakini sina uhakika wa kusoma full time. Nilifikiria kusoma Open University Bachelor of food Nutrition and Dietetics lakini vigevo vyao vya kuchaguliwa ni GPA kuanzia 3.5 ambayo sina. Je, kuna...
  14. C

    Taj Mahal: Urithi wa dunia, taji la Malkia lililosimama tangu karne ya 17

    Katika jiji la Agra nchini India,kwenye kingo za mashariki za mto Yamuna limesimama jengo mashuhuri kuliko yote nchini India,TAJ MAHAL. TAJ MAHAL iliamriwa kujengwa mwaka 1632 na mtawala wa tano wa himaya ya Mughal aliyeitwa Shah Jahan. Himaya ya Mughal ilikuwa inapatikana katika eneo la...
  15. C

    SoC01 Simanzi: Kumbukumbu za wafu na mapitio ya vita kubwa ya wakati huu

    Siku za hivi karibuni moyo wangu umegubikwa na simanzi nzito. Simanzi inayoletwa na kumbukumbu za zamani zenye kuhuzunisha sana. Kumbukumbu za wapendwa wangu waliotangulia mbele ya haki. Kumbukumbu za mambo yote tuliyofanya pamoja ambayo yalifanya maisha kuwa na maana. Kumbukumbu hizi...
  16. C

    Salamu kwa mpendwa Anania,sononeko la nafsi na mapitio ya vita kubwa vya wakati huu

    Siku za hivi karibuni moyo wangu umegubikwa na simanzi nzito. Simanzi inayoletwa na kumbukumbu za zamani zenye kuhuzunisha sana. Kumbukumbu za wapendwa wangu waliotangulia mbele ya haki . Kumbukumbu za mambo yote tuliyofanya pamoja ambayo yalifanya maisha kuwa na maana. Kumbukumbu hizi...
  17. C

    Bidhaa za oriflame zinapatikanaje kwa sasa nchini Tanzania?

    Habari zenu wakuu, Ninatamani kuanza kutumia bidhaa ya Oriflame inayoitwa Novage advance breakout defence emulsion. Nimeambiwa kwa sasa hazipatikani kwa kuwa Oriflame hawa-operate nchini na hizo bidhaa labda ziagizwe nje. Je, nini kilifanya Oriflame waondoke Tanzania? Kama kuna mwenye msaada...
  18. C

    Ifahamu dola ya Maya iliyooneshwa kwenye filamu ya Mel Gibson "Apocalypto"

    Miaka kadhaa tangu kutolewa kwa filamu ya Apocalypto(mwaka 2006),bado nimeguswa kuandika makala yangu ya kwanza kwenye blogu hii kuhusu filamu hiyo.Ninaipenda sana filamu hii. Mel Gibson na Farhad Safinia ndio walioiandika Apocalpto.Wawili hawa walikutana kwenye matengenezo ya mwisho mwisho ya...
  19. C

    Ugumu wa kukimbizana na muda

    Unajua haya matatizo mengine tunajitakia wenyewe lakini mwisho wa siku yanatugharimu. Miaka mitano ni mingi sana kuvumilia shida, bora ingekuwa miwili au mitatu alafu tunachagua viongozi wengine. Hawa watatuua yani bora hata ufe kwa ugumu wa maisha kuliko kufa kwa chuki dhiki ya kiongozi wako...
  20. C

    wakuu msaada tafadhali

    Naomba mnisaidie jinsi ya kuipata tamthilia ya La Revancha iliyowahi kurushwa na chanel ya TBC1 enzi hizo ikiitwa TVT.Nimejaribu mitandaoni kwa uelewa wangu lakini sijafanikiwa.
Back
Top Bottom