Search results

  1. M

    Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

    mimi nimeweka culr ila nataka nihamie kwenye reluxer je dawa gani nzuri itakayofaa kutumia ili nywele zangu zisikatike.cult niliweka lazer curl
  2. M

    Hando not Kibonde

    tupo pamoja mkuu tumemsikia alivyowapa vidonge vyao
  3. M

    Wana-jf nimefiwa na mke wangu!!

    pole sana sajent naju unavyoumia mungu akupe nguvu na ujasiri ulee watoto
  4. M

    Nisaidieni jamani hii nyumba ndogo siielewi.

    yeye ni nyumba ndogo yako na wewe ni jumba ndogo yake kubwa ipo .ndugu yangu mapenzi anayokupa anakuibia tu hana lolote atakuvuna mpaka ubaki na araiyooo.rudi kwa mkeo.
  5. M

    Wanawake wa JF mnaopenda ku-flirt na wanaume msiowajua!!

    hahahaha eliza ucku wote hulali.kazi kutizama mumeo anafanya nini ucku. ukiona anachart sana mpe kikombe kimoja cha babu atalewa zen atalala, alafu uanze kuchart wewe.
  6. M

    Pale HG anapokuheshimu na kukuhudumia kuliko wife

    na nyie mmezidi lawama mno.mke ni ua
  7. M

    Bora nife

    pole sana imm sasa huyu ndiye yule x au ni yule mpya ndiye kakutosa.una ukumbuka ule wimbo unaosema kuachwa ni shughuli pevu? unajua nyie wanaume mkiachwa mnatishia kujiua je? cc wanawake tukiachwa tutishie kucheka au?? pole ndugu ndo ukubwa huo
  8. M

    Jamani hawa ma last born watatupasua vichwa!

    mimi ni last born ila ckuwahi kudekezwa hata kidogo.hiyo mijeledi.hapa ndo ilikuwa kituo chake.so hayo magem punguzai. kuyanunua tv aangalie w/end tu pia waombee sana watoto wako kwani mungu ndiye silaa pekee.
  9. M

    Je kwa kosa hili NI SAHIHI KWA MKE KUMUITA MUMEWE MJINGA?

    haya jamani hiyo ndiyo ndoa- ndoano
  10. M

    Sikutegemea kutukanwa na mmu wenzangu

    pole king'ast ila huku tunakupenda na tunakuhitaji
  11. M

    Kuolewa kuna raha zake!

    Igwe ucjaribu kama hujajiandaa
  12. M

    Nimfanyaje huyu house girl wangu

    Natamani kumwambia mkeo huo ukaribu ulio nao kwake kwa sasa ni wa unafki na c wa kweli.
  13. M

    Wanafunzi 8 wa chuo jinsia tofauti wakutwa guest chumba kimoja

    sasa kosa ni kulala wengi? au kosa ni kuwa wanafunzi? kwanini polisi wasiwakamate wahudumu wa hiyo gest husika.maana ndo wahusika wakubwa wa kuandikisha majina.
  14. M

    Heshima ya mwanamke Pt 2. Wema Sepetu aweka mambo Hadharani Fiesta Dodoma,....nje!

    pole mama mzazi maana inauma sana mwanao anapokuwa hivyo. ila tuzidishe maombi kwa wanetu maana hali si nzuri.ipo siku atawabadilisha.
  15. M

    Nashindwa kumwelewa huyu dada

    Nlidhani ushafuta no yake kumbe bado unayo.mpotezee hana maana sana.
  16. M

    Mtoto afanyiwa ukatili shuleni

    Umekosea kidogo Huyo muhudumu ulitakiwa kwanza umpe kichapo cha nguvu kwa mikono yako, vichwa, na mateke alafu akueleze kama amezaa na kama amezaa mwanae angefanyiwa hivyo angefurahi? Hana akili kabisa tupe jina la shule na la huyo mkuu wa shule tulifanyie kazi . Unalipa na siyo bure.
Back
Top Bottom