Nafikiri huyu mzee atakua anatafuta umaarufu uzeeni. nijuavyo mimi unaponunua ticket lazima ina namba ya kiti utakachokaa. na kama alikiuka utaratibu wa kwenye ndege iweje useme amedhalilishwa. nimesafri na PW zaidi ya mara 10 na sijawahi kusika hata mara moja lugha ya Kiswahili kutotumika...
Nimemaliza kupiga kura yangu hapa Ilkiurei nje kidogo ya mji wa Arusha, watu ni wengi sana, kuna utata wa baadhi ya majina ya watu kutoonekana lakini waangalizi wako makini sana kuwaelekeza wapiga kura namna wanavyoweza kutambua vituo vyao kwani wengine majina yao yamehamishiwa vituo vingine...
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Jakaya Mrisho Kikwete
Ahadi za Kikwete:
1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa-Nzega, Tabora
Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda- Tanga mjini
Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria-Igunga
Kulipa madeni ya chama cha Ushirika...
Ukweli usiopingika, ni takribani masaa masaa kumi yamebaki kufikia ile siku ambayo watanzania wenye kiu ya mabadiliko ya kweli kwenda kufanya hitimisho kwa kumchagua kiongozi wanaemtaka, vyombo vya habari vimekua vikitoa tathmini mbalimbali, Jamii forums inaonyesha kuwa Dr. Slaa anaongoza kwa...
hata wewe yaashiria ni mwanachama mfu wa ccm lakini asili yako ya uoga wa kutamka hadharani ndio inakuponza, jikaze kisabuni ndugu! CHADEMA fimbo yao!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.