Makala
Kama iko hata chembe ya mabadiliko, chembe hiyo itakuwa Ukawa
Jenerali Ulimwengu
Toleo la 428
21 Oct 2015
KICHWA cha makala ya wiki hii nimekiteua kwa makusudi kabisa kwa sababu kadhaa. Kwa umri wangu na kutokana na uzoefu wangu katika siasa za nchi hii, ninajua kwamba siasa zetu...
Jamani kuna dada yangu anapangisha nyumba yake nzuri iliyopo Segerea karibu na Rufita, Kituo cha basi cha kwabibi. Nyumba ni mpya iko karibu sana na bara bara na eneo tulivu, ina fence na uwezo wa kupaki gari mbili.
Ina vyumba Vitatu vya kulala, kimoja kati ya hivyo ni master bedroom, jiko, na...
Nimekuwa nikiangalia taarifa za habari na magazeti na ni mara chache sana utaona watu waliokamatwa kwa makosa mbali mbali kuonyeshwa picha zao kwenye runinga, au picha kwenye magazeti.
Je kuna sheria yoyote inazuia hili, hatusemi kuwa wamehukumiwa na makosa lakini kwani si ni kweli wamekamatwa...
Habari zenu Waungwana
Mimi ni Kiraka nimefurahishwa na jamvi, naona hakuna tundu ila nitakuwepo, kama itabidi nitatumika kuziba, kama niitwavyo.
Naomba kukaribia....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.