Ni sawa, kwa sababu akiangalia mjinga kama yeye amekuwa waziri kwanini asiseme hivyo, huyo jamaa ukimwangalia, ukimsikiliza unaona kabisa ni tapeli mganga njaa.
Huu uwanja kwani umeshatumika? Hiyo ni dili nyingine ya upigaji...Uwanja hata haujatumika tayari unapangiwa bajeti mpya ya kuuboresha? Ina maana mwanzo ulijengwa kwa kiwango gani?
Wewe mi mwivi narudia tena wewe ni mwivi, sijakosea wewe sio mwizi ni Mwivi. Pata picha hiyo ni hela ya kumpeleka mgonjwa amezidiwa India halafu wewe umekwiba. Karma is real... Witch craft too...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.