Mheshimiwa Jaji Kiongozi.
Mahakama ni taasisi nyeti sana katika muunganiko wa Mihimili ya Nchi. Lakini inapotokea mfanyakazi mmoja anaichafua Taasisi hiyo inabidi sisi waathirika tuseme kusudi wewe kama kiongozi umuagalie kwa jicho la tatu, huyo karani yupo Mahakama Kuu ya Tanzania (Mwembeni)...
Waziri mkuu amewatangazia kubadilishwa kwa Noti ya 500 na 1000 rupee wananchi wa india kwa taarifa ya dharura wadau naomba nipate mchango wenu notice ya kubadilishwa pesa ndani ya masaa?
Je wa jua Kuwa wenye The highest Qualification in Port and Shipping ya Yaani CHARTERD SHIPBROKER wapo 4000 na East Africa 180 na Kenya ni 178 na Tanzania 2 tu Leo hapa Channelten kupitia MADA MOTO na Julius Nguhulla mmoja Kati ya Watanzania wawili akielezea nini kifanyike katika kuinua uchumi...
Leo usiku kwenye kipindi cha mada moto albert kilalah atakuwa na baadhi ya viongozi wastaafu na wanachama wa club ya simba kujadili mabadiliko ndani ya simba. moja ya wazungumzaji atakuwa Mfumwa Mangara
kesho kwenye kipindi cha mada moto chanel ten albert kilalah (the king) atakuwa na viongozi wastaafu na waliopo madarakani kuzungumzia mabadiliko ndani ya simba. saa nne usiku live on channel ten
Leo kwenye kipindi cha mada moto Katibu Mkuu wa CHADEMA Vicent Mashinji atakuwa na Albert Kilalah (the king) wakizungumzia tamko la CHADEMA.
Saa nne usiku, live on Channel ten.
Leo kwenye kipindi cha mada moto mhandisi Paskasi Mragili mkurudenzi wa CDA (mamlaka ya ustawishaji makao makuu) Dodoma ataongea na Albert Kilalah the king live on Channel ten saa nne usiku.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda atakuwa ndani ya kipindi cha mada moto kuzungumzia mambo mbali mbali ya mkoa wa DSM live saa nne usiku CHANNEL TEN.
Leo usiku kwenye kipindi cha mada moto tv show pand mbili ya chama cha ADC ambao zinapingana watakuwa na Albert Kilalah kuelezea mambo yanayohusu chama cha ADC.. live saa nne usiku.
Leo kwenye kipindi cha mada moto live saa nne kamili kwenye channel ten mada itazungumzia kuzorota kwa bandari ya Dar es salaam nani wa kulaumiwa? Wageni ni rais wa malori Tanzania nd.Elias Lukumay na nd. Mkinga na mtaalam wa C & F.
Leo usiku albert kilalah atakuwa rais wa femata john bina na meneja uchimbaji mdogo wa stamico tuna bandoma wakizungumzia NI MIKAKATI GANI SERIKALI IMEFANYA KUHAKIKISHA SEKTA YA MADINI INAWANUFANAISHA WAZAWA?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.